Bado wanna-launch lifts mbeya🤣🤣This is my village. Iko na Streetview na iko na overpass. Pale hata Mwanza haina overpass. 🤣 🤣
View attachment 2745239
Dream Houses 🤣 🤣Ona tu, just five km from the cbd!
Makongo Juu na Makongo yenyewe
View attachment 2745247
View attachment 2745250View attachment 2745252
Ni haram mdanganyika kuongea kuhusu lami.Yaani Dar asikudanganye mtu.
Ona Mbezi.
Jamaa hutupa wapi nguvu!? Eti "Another road with no markings"
Na kwao hata lami yenyewe maji na mafuta🤣🤣🤣🤣
Hopelessness
View attachment 2745242View attachment 2745245
Halafu wakifika level kama hizi!?This is my village. Iko na Streetview na iko na overpass. Pale hata Mwanza haina overpass. 🤣 🤣
View attachment 2745239
Checki hiyo mitaa ya Komarock Nairobi. Lami every stateYani uvunje hizi......................
View attachment 2745218
Ureplace na hizi? 🤣 🤣
View attachment 2745219
Broo, una shida ya akiliii nini? 🤣🤣
Shamba la miogo🤣🤣
Yaani useless.
Yani Komarock imeshinda mtaa wao wa pili kwa utajiri.Checki hiyo mitaa ya Komarock Nairobi. Lami every state
View attachment 2745261
Runda sasa on Google Earth
Hakuna l'ami 🤣🤣😁😁
Tanzania should be nuked and rebuilt from scratchZanzibar no bedsitters only dream houses🤣🤣 View attachment 2745206View attachment 2745207
Ni makosa makubwa kulinganisha Nairobi na DSM au Kenya na Tz,Iko hivi,Tanzania imejengwa na WA Tanzania wenyewe wakati Kenya imejengwa kwa jasho la wakoloni,Tz Iko mbali Sana,fikiria Tz tungejengewa kama wakenya walivyojengewa na mabwana zao tungekuwa mbali Sana.Wakenya wawashukuru waingerereza vinginevyo ni maskini wakutupwa.Mheshimu Sana mtu nayejenga nyumba kwa jasho lakeKulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Dar wale wa Nairobi wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na wao vilevile. Kama kipo kwenye plan wanaweza kuleta au sisi tunaweza kuleta kwaajili ya kujibu.
1. Master Plan of the city
2. Current View of the city
3. Ongoing Projects
4. Future Projects proposed
5. Culture and Life style
6. Food availability
7. Entertainment and Funny Places
8. Places to visit
9. Transport system (Private and Public)
10. Markets and Shopping malls
11. Hotels
12. Education centers
13. Health centers
14. Telecommunication and Data centers
15. Information Technologies and Innovation
Ndugu Jay456watt kutoka Nairobi kama ulivyo dai sasa thread inaanza.
Welcome to the battle.
Hizo picha hazipo resolution moja!Ni makosa makubwa kulinganisha Nairobi na DSM au Kenya na Tz,Iko hivi,Tanzania imejengwa na WA Tanzania wenyewe wakati Kenya imejengwa kwa jasho la wakoloni,Tz Iko mbali Sana,fikiria Tz tungejengewa kama wakenya walivyojengewa na mabwana zao tungekuwa mbali Sana.Wakenya wawashukuru waingerereza vinginevyo ni maskini wakutupwa.Mheshimu Sana mtu nayejenga nyumba kwa jasho lake
Kila mtanzania anastahili kupigwa viboko vitano kwa makalio manake hawana akili.Tanzania should be nuked and rebuilt from scratch