Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤣🤣🤣 Wewe bhana wacha maneno leta kàzi.. barabara nyingi ndani ya Karen hazina lami na hata hizi zenye lami ni lami isiyokuwa na viwango .. ushahidi huu hapa 👇View attachment 2731369View attachment 2731371nadhani hii 👆 ndio best place enye mnajisifia nayo huko Karen, correct.? 🤣🤣🤣 Wachana na hizo pavement ndani ya hako ka estate barabara za nje ya estate ni tope tupu
Siku nyingi sana huyo zwazwa anajaribu sana tena sana masaki ionekane haina thamani lakini moyoni mwake anajua masaki ndio sehem inayowaumiza kichwa miaka na miaka na huu mjadala wa masaki haujaanza leo 😅😅😅😅😅😅😅😅

Anahangaika na masaki wakat mm nilimwambia masaki ni kubwa sawa na mombasa town yote 🤣🤣🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣 Vipi mbona unapost nyumba mbili.? Kwenye battle ya mabomu unakuja na kisu.? 🤣🤣🤣
Masaki size yake ni Eastlands, matajiri hawaishi kwa apartments kilaza.., kisha Eastlands imeizidi kwa mbali sana..., yaani mnatia huruma eti masaki yenye apartments ni mtaa wa cream de la cream ya matajiri wa Tanzania 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 .., mtaa umejaa mchanganyiko ya watu..,

Yaani sehemu za Eastlands ndio catogory ya Masaki, ila sio size yake..., Eastlands ni kubwa zaidi.., nyie ni fukara walai...,

Sehemu za Eastlands zaidi ya Masaki kwa termaced roads, mpangilio na ukubwa..., yaani masaki ndio the best in Dar..,
1693223563083.png

1693223592426.png

1693223623784.png

1693223662820.png
 
Syokimau ndio category ya Masaki.., blend ya apartments with mansions and bungalows...,
Exactly, Hadi tukipost kwa picha za Karibu inaonyesha. Jioni hawawezi post picha za Karibu za hiyo Masaki? Ngoja nitulie nitapost video uone vile hiyo esto ni imbo.🤣
 
Back
Top Bottom