The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
😅😅😅😅 umeshakula kwanza?? Umeamka na hasira za nn?? Mm nakwambia kisumu hata kwa iringi haitoboi just mark my wordsAta ulete Dodoma + Arusha + Mwanza + Kampala, Nairobi itawanyorosha kama wezi.
Issue ni ziko wapi 70 companies ziko wapi 50km of tarmac na ziko wapi 3000 houses wewe tumia hasira utumiavyo lakini majibu haya hutayapata mpaka kiyama kitasimama 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇The kind of industries setting up in Tatu city.
Alafu unapata wendawazimu hapa wakilinganisha na upuzi wa dodoma
View attachment 2727224
Hiyo matatu city iKo na majengo mangapi?Sasa hii ndio ufananishe na Tatu City?..., office blocks tu!!, zenye hamko sure zitapata wateja wengine mbali na ofisi za serikali!!, ujinga mzigo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwani sisi tunaongea sana basi, sasa hivi tu hizo access roads hamtuwezi, tumeishawahi kuwa na battle humu. Hiyo phase 2 next year inaisha, tutarudi tena hapa mtuoneshe hizo km 500 mpya kama 50km tu za matatu city zimewatoa kamasi.Tuta-
As of now, your estates are crap. By the time you finish your 200km unadhani tutakuwa tumekaa tu?🤣🤣 Barabara zinaendelea kujengwa Nairobi. Mkimaliza hizo 200km tutakuwa tumeongeza 500km Nairobi.
Alafu 200km ndio nini Sasa. Unadhani 200km zitabadilisha Jiji kama Dar? FYI mkimaliza kujenga hizo 200km bado estate zenu zitakuwa na barabara za vumbi. 200km ni kitu kidogo Sana kwa Jiji lenye watu Zaidi ya 6M. Najua spatial knowledge yako iko low huwezi elewa.
LDC resident shughulika na chakula yako kwanza.😅😅😅😅 umeshakula kwanza?? Umeamka na hasira za nn?? Mm nakwambia kisumu hata kwa iringi haitoboi just mark my words
Hatumuwezi aje Na estate zenu zote ni vumbi tupu?🤣🤣Kwani sisi tunaongea sana basi, sasa hivi tu hizo access roads hamtuwezi, tumeishawahi kuwa na battle humu. Hiyo phase 2 next year inaisha, tutarudi tena hapa mtuoneshe hizo km 500 mpya kama 50km tu za matatu city zimewatoa kamasi.
Tatu city sisi tunaongelea industries si majengoHiyo matatu city iKo na majengo mangapi?
Does Tanzania even have a tech industry to write about?
Kenyan tech startups take up all the financing in East Africa, and are giants in the whole of Africa.
Bongolala is better off sticking to farming and begging 😂 😂 😂
View: https://twitter.com/Benji_Fernandes/status/1610277523165962243
View attachment 2727399
Does Tanzania even have a tech industry to write about?
Kenyan tech startups take up all the financing in East Africa, and are giants in the whole of Africa.
Bongolala is better off sticking to farming and begging 😂 😂 😂
View: https://twitter.com/Benji_Fernandes/status/1610277523165962243
View attachment 2727399