Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mods tafadhalini mturuhusu watumiaji wa App kuweza kufatilia huu Uzi.

Ni zaidi ya week Sasa siwezi kusoma chochote huku. Sasa bila huu uzi kwangu JF haina ladha.

Maxence Melo Active Paw
Sasa hivi App haipo vizuri kabisa
 

Attachments

  • IMG_9595.jpeg
    IMG_9595.jpeg
    15.5 KB · Views: 2
Ntakusamehe sababu naelewa wewe mshamba.
Google earth is not LIVE.

Na kama unavyoona hapo bottom left, tarehe ya picha kupigwa imeandikwa.
In this case the date is 2/2/2021.
In short, You're looking at an image that is 2 and a half years old.

View attachment 2725434

The same Google earth tells us that the Dodoma imagery was taken in January 31, 2023.

View attachment 2725443
Umemdaka🤣🤣🤣
 
Mods tafadhalini mturuhusu watumiaji wa App kuweza kufatilia huu Uzi.

Ni zaidi ya week Sasa siwezi kusoma chochote huku. Sasa bila huu uzi kwangu JF haina ladha.

Maxence Melo Active Paw
Mkuu kumbe hata wewe app inagoma kwenye huu uzi? Nahisi walichofanya mods ni kwamba kwakuwa hawataki tutumie app wanaangalia nyuzi pendwa za members alafu wanaku ban kuingia kwenye huo uzi kwa kutumia app mpk utumie browser, hii si sawa kabisa.
 
Ntakusamehe sababu naelewa wewe mshamba.
Google earth is not LIVE.

Na kama unavyoona hapo bottom left, tarehe ya picha kupigwa imeandikwa.
In this case the date is 2/2/2021.
In short, You're looking at an image that is 2 and a half years old.

View attachment 2725434

The same Google earth tells us that the Dodoma imagery was taken in January 31, 2023.

View attachment 2725443
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 acha tu nicheke na leo nimecheka sana ww unamisaidia mm au unataka kunifundisha nn?? Hvi ww umaeza niambia nn nikakuelewa??

Nenda ukatafute 50km tarmac road tatu city na bro mark my words ukipata just tag me nafunga acc forever manyuziiii
Screenshot_20230822-184723.png
 
Hapa umeua mbu kwa rungu mkuu

Mkuu kumbe hata wewe app inagoma kwenye huu uzi? Nahisi walichofanya mods ni kwamba kwakuwa hawataki tutumie app wanaangalia nyuzi pendwa za members alafu wanaku ban kuingia kwenye huo uzi kwa kutumia app mpk utumie browser, hii si sawa kabisa.
Tatizo Sio kwenda kwenye browser mkuu..

Hawa hata option ya forget password ni mtihani.

Nimesha badili ID Tatu.. Sasa maana nikienda browser na hii nibadili.. Sasa ladha iko wapi hapo?
 
Back
Top Bottom