Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The most innovative city in Africa. Nairobi Kenya
20230821_170608.jpg
 
tunahofu na nyinyi ndio mlianza hii thread ya ujinga....smh
Uheheheh yale matusi muliokua munatukana watanzania 6yrs back yako wapi?? Yameenda wapi kama hamuna hofu?

Siku hzi mumekosa raha baada yakujua ukweli ambao wanasiasa wenu waliwadanganya kua muko level za europe kumbe zimbabwe kwa sasa ina nafuu kuliko nyinyi mafala 😅😅😅😅😅
 
Siku hizi wanaiogopa Dodoma sio mchezo, ukiweka picha za Dom wanakaa kimya, wivu unawashika wakiona a new African world class city inavyozidi ku take its shape.
Alaf waambie dodoma gvt city hakuna misitimu ya umeme 😅😅😅 wala hakuna misitimu ya internet kila kitu kimepita underground labda hawana taarifa😅😅
 
Back
Top Bottom