Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwanini wanaviita viwanja vya michezo 'international' hawa ng'ombe sijui lini watapata akili, hata English hawajui
Hawa ni watu wa kelele na sifa za kijinga, Kila kitu wanachofanya kwao lazima wakipe sifa za kijinga, hata ugali" lazima watasema " our ugali is the biggest in East and central Africa".

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Another batch from masters
FB_IMG_16896580438121083.jpg
FB_IMG_16896580513722642.jpg
 
Kama walivyokufa Pio Gama Pinto, Tom Mboya, J Kariuki, Aoku, Chris Msando, Sheikh Rogo, Makaburi na viongozi wengi wa kiislam.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Nina hakika huyo nyang'au hajui yaliyotokea enzi za Pinto, Mboya, Kariuki wala Ouko. Anasimuliwa tu na wazazi wake🤣🤣
 
Slums ni kitu shakahola haiwezi kukiacha inches 2 away, they're so intact and look fabulous together

View attachment 2691590
Tanzania ukijenga nyumba ya mabati labda uishi pekeako ila ukiweka familia tu unaweza jikuta jela Sasa sikujui wakenya wamehalalishaje hii kitu au kwa vile serikali inajua umasikini walionao wakenya?
 
Hahah Hadi parking Haina, watu wanapark kwa manyasi!!!
Lami pia ni zero around the stadium.
Hii CAF ni upuzi.
Ndio maana Africa ni Mavi kwa football bado.
Hata ulie ila haifuti ukweli kwamba timu zenu lazima zije kucheza Tz mtake msitake, hapa ni kujifariji tu, CAF washasema kwa East Africa viwanja bora vipo Tz pekee na kama unaona mpira wa Afrika ni wa hovyo waambie Wakenya wenzako wasishiriki michuano ya Afrika.

Wakenya wote zaidi ya mil 60 wanalia kwamba timu zenu zinafanya vibaya Africa, wewe ni nani uikosee heshima CAF, wewe ni mavi tu.
 
Tanzania has officially lost another settlement case against Ntaka hill - July 18 2023

Sahauni safari za London au dabai.
IMG_20230718_104450.jpg
IMG_20230718_104448.jpg
 
Back
Top Bottom