Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

BAN ya UK ilikua 2014 kwanini biashara ya mirungi inaendelea kunawiri almost 10 years later
Unajua maana ya neno kunawiri?, Inaendelea katika nchi chache na ndogondogo, Sasa Uganda, Ethiopia Somalia na Kenya Kuna biashara gani ya kujisifia?, UK pekee ilikua ikinunu mirungi yenye thamani zaidi ya mara 3 ya thamani ya nchi zote hizo 4 kwa pamoja, kitendo Cha UK kukataza hiyo biashara, ilikua ni pigo kwa hiyo biashara, hivi Sasa mnatapatapa lakini biashara sio nzuri kabisa.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
So france, hongkong etc are uncivilized countries sababu wanaprotest very violently... Dictatorship countries only ndo wanaogopa kuprotest eg North Korea and Tanzania mtapigwa marisasi nyote na CCM
Yes, among civilized countries, France is not on top, too mush racism in France. When we talk civilized country good examples are Norway, Iceland, Sweden, New Zealand, Holland, Finland, Singapore. Ulishawahi sikia fujo yoyote kutoka Scandinavian countries, au Canada, au Macau?.

Fujo zaidi ni USA(racism), Iran, Kenya, na nchi zingine zenye kusumbuliwa na ubaguzi. Jambo la kujifunza ni kwamba, France maandamano yalifanyika zaidi ya wiki 3, uaribifu mkubwa Sana ulifanywa lakini hakuna hata mtu mmoja aliyepigwa risasi wakati wa maandamano, Kenya ndani ya siku 2 tu, watu zaidi ya 2O wameuliwa na polisi, Kenya is a failed state.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Yes, among civilized countries, France is not on top, too mush racism in France. When we talk civilized country good examples are Norway, Iceland, Sweden, New Zealand, Holland, Finland, Singapore. Ulishawahi sikia fujo yoyote kutoka Scandinavian countries, au Canada, au Macau?.

Fujo zaidi ni USA(racism), Iran, Kenya, na nchi zingine zenye kusumbuliwa na ubaguzi. Jambo la kujifunza ni kwamba, France maandamano yalifanyika zaidi ya wiki 3, uaribifu mkubwa Sana ulifanywa lakini hakuna hata mtu mmoja aliyepigwa risasi wakati wa maandamano, Kenya ndani ya siku 2 tu, watu zaidi ya 2O wameuliwa na polisi, Kenya is a failed state.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
sa Danganyika imekua sweden au canada🤣🤣 dont be stupid low IQ

Fz88xy9acAEVKCl.jpeg
 
Back
Top Bottom