Duh na hela ya kurekebisha hakuna sijui itakuaje?Expressway sasa inametameta, wakenya job well done kudos
Duh na hela ya kurekebisha hakuna sijui itakuaje?Expressway sasa inametameta, wakenya job well done kudos
Zanzibar wakiendelea na hizi mambo zao watapoteza wataliii wanajisahau kuwa kuna Oman, kuna Sychelles na kuna Mombasa!!pale viongozi wanapojisahau sheria hizi zitawahusu pia Watalii! Aisee busara ni zero! Nashangaa Rais Mwinyi kapitishaje hili?
This country is going to the docks.
Unajifariji tuu this is chaos and does not augur well for investment.Peoples power, viva![]()
Hata kilwa kuna utalii mzuri tena kuliko znz na mombasaZanzibar wakiendelea na hizi mambo zao watapoteza wataliii wanajisahau kuwa kuna Oman, kuna Sychelles na kuna Mombasa!!
Hio sheria ni kwa wazawa tu👇👇👇Zanzibar wakiendelea na hizi mambo zao watapoteza wataliii wanajisahau kuwa kuna Oman, kuna Sychelles na kuna Mombasa!!
TAZARA wana fail sana yani...At any one time unakuta lorries kama 2000 mpaka 3000 waiting to cross over
🤣🤣🤣🤣🤣ohh my ribs ila njaa 🙌🙌
But your fellows here deny that Islam is not recognized in Kenya, only ChristianityThis Girl Muna Cabdifatah has won global Quran recitation competition 2023!!! There is always something in every Kenyan.
View attachment 2686034
Ondoa Mombasa ktk hii orodha, nani anataka kwenda kwenye nchi ya fujo na mauaji yasiokwisha?Zanzibar wakiendelea na hizi mambo zao watapoteza wataliii wanajisahau kuwa kuna Oman, kuna Sychelles na kuna Mombasa!!
Basi kama ni hivyo ni upuuzi na kutofikiria, mwanzoni nikaona sawa wana msimamo mana taratibu, mila na desturi za sehemu husika lazima zifuatwe, ila walipobadilisha imeonekana wazi walikurupuka.Hio sheria ni kwa wazawa tu
Nilishangaa sana wachina kutoa pesa zao kujenga facility ambayo haitarudisha faida na pia hakuna guarantee hiyo mana Wakenya sio wastaarabu kabisa, hawajui kutunza mali na hawana elimu, nadhani investors inabidi wajifunze kutokana na uharibifu huu.Protesters were messing with this beauty in Nairobi
View attachment 2686036
Typical ujamaa Dar.Ujamaa villages, perfect illustration of DAR es Salaam living and housing.
View attachment 2686041
View attachment 2686043
Nchi yenu ni ya kimavi mavi sana, haifai kuishi mtu mwenye malengo, no wonder over 90% ya Wakenya wana wish kukimbia hapo ushagoo, wengine wanatamani kuwa Watz ukiwemo wewe.Typical ujamaa Dar.
The birth of unplanned settlement
Uswaziland.
Mazingira ni ya kijijini sana aisee, vumbi mtindo mmoja. Mm siwezi kuwa mkenya hata kwa bahati mbaya, mjanja kama mm sipaswi kuwa mkenya.