ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,426
- 85,254
The Capital City
Utanunua utake usitake, let strong man passes by, Tz ni taifa kubwa kwenuNo one uses azam in Kenya na hamna atakayezinunua










Wivu 😁😅Sikujua kupokea refugees pia ni achievement manake Kenya tuna zaidi ya 2m🤣🤣🤣🤣
Huku kwetu tulipokea refugees wengi kutoka nchi zote za kusini mwa Afrika, walikua matajiri hata kushinda sisi watanzania, lakini bado tuliwaweka katika camps.Pumbavu, huko tanzania mmefundishwa kuwa wakimbizi wote hawana pesaSomalia/S.Sudan zilipoanguka refugees wenye pesa wali- settle Kenya nzima, wale maskini wanawekwa kwenye camps. President wa Somalia mwenyewe familia yake iko hapa. Jinga
Choco reborn unakuwaga huna akili siku zote, ukiambiwa asilimia ya waislamu huko lamu ni 80% it means hata kama kuna watu 10 ujue kwamba 8 kati yao ni waislamu.Idadi ya waisilamu Kenya haifiki 20% sasa iweje pwani iwe 80%hio malindi iko ndani ya kilifi ambako ndo ukristo ulianzia Kenya. Hio lamu ndo kaunti yenye watu kidogo Kenya.
South Sudan and Somalia are run from Nairobi… all their leaders families live in Nairobi ( safe haven)….. a few years back, i met John Garang son at a club in Kilimani…. The boy was really loaded with cash … he made the club go wild….Pumbavu, huko tanzania mmefundishwa kuwa wakimbizi wote hawana pesa🤣🤣 Somalia/S.Sudan zilipoanguka refugees wenye pesa wali- settle Kenya nzima, wale maskini wanawekwa kwenye camps. President wa Somalia mwenyewe familia yake iko hapa. Jinga
Mmeumia ila mtazoeaHujui kitu unaongea we we, azam wamepewe TV rights za kpl kama vile bamba sports/ kbc etc lakini tatizo ni kwamba hakuna mtu mwenye decoders zao. Kitu ambacho kitatokea ni kwamba KPL itapata umaarufu Tanzania hahaha







Ndio lengo letu hilo kuiua KBCEti anaexpect kenyans watanunua azam recorders![]()





Anadhani azam itanasa Kama ilivyowakamata. Azam unga, azam condom, azam sabuni, azam pombe, azam football![]()
Mnapitia kipindi kigumu sana, tunaiita DNA.
















This is the worst comment I have ever seen on this platform!! Yani siamini ninachokisoma.Hatutaki waislamu Kenya.
Wenye wako wametuletea shida tayari.
Kama zile hadithi za Taifa gas🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mnapitia kipindi kigumu sana, tunaiita DNA.
D=Denial
N=Negotiations
A=Acceptance
![]()
Punguza chuki Azam imeshaingia huko.Anadhani azam itanasa Kama ilivyowakamata. Azam unga, azam condom, azam sabuni, azam pombe, azam football🤣🤣🤣🤣
Wakenya wanafurahia Sana kwa Azam TV kupewa haki ya kurusha ligi Yao.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mgonjwa mtambuka🤣🤣🤣Punguza chuki Azam imeshaingia huko.