Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Acha uongo ww over 80% pwani yote ya kenya ni waislamu hata ukiangalia lamu over 95% ni waislamu nimekwenda malindi over 85% ni waislamu

Kwann umasema uongo ili ukusaidie nn?? Hvi ww unafkiri kuna mtu utamdanganya humu ndani hvi mfano mm we unaeza nidanganya nn ??😅😅
Idadi ya waisilamu Kenya haifiki 20% sasa iweje pwani iwe 80%🤣🤣 hio malindi iko ndani ya kilifi ambako ndo ukristo ulianzia Kenya. Hio lamu ndo kaunti yenye watu kidogo Kenya.
 
We umezoea tu kuropokwa and huijui kenya kunishinda. Kwenye counties 6 za coast, wakristo ni 2.4m while waislamu ni 1.6m according to the 2019 census. Muslims wapo majority only in lamu, kwale na tana river
Alifika akaona makanvu malindi na lamu akadhani Kenya ni Tanzania.
 
Sikujua kupokea refugees pia ni achievement manake Kenya tuna zaidi ya 2m🤣🤣🤣🤣
 
Sikujua kupokea refugees pia ni achievement manake Kenya tuna zaidi ya 2m
Hahaha, refugees mwenye kulipa $5000 kwa mwaka ili kusoma katika "the most prestigious medical school in East and Central Africa vs Refugees who depend on UNHCR in dadab camp, hata hawaruhusiwi kufika Nairobi, Sana Sana wanaingia na silaha na kuwasaidia Alshabaab kuwatandika KDF daily.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Waambie hao viongozi wenu walioamua kuchagua AZAM badala ya kuwapa hao wazembe wa KBC. Tutaendelea kuwatawala kila eneo.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hujui kitu unaongea we we, azam wamepewe TV rights za kpl kama vile bamba sports/ kbc etc lakini tatizo ni kwamba hakuna mtu mwenye decoders zao. Kitu ambacho kitatokea ni kwamba KPL itapata umaarufu Tanzania hahaha
 
Hujui kitu unaongea we we, azam wamepewe TV rights za kpl kama vile bamba sports/ kbc etc lakini tatizo ni kwamba hakuna mtu mwenye decoders zao. Kitu ambacho kitatokea ni kwamba KPL itapata umaarufu Tanzania hahaha
Eti anaexpect kenyans watanunua azam recorders
 
Hahaha, refugees mwenye kulipa $5000 kwa mwaka ili kusoma katika "the most prestigious medical school in East and Central Africa vs Refugees who depend on UNHCR in dadab camp, hata hawaruhusiwi kufika Nairobi, Sana Sana wanaingia na silaha na kuwasaidia Alshabaab kuwatandika KDF daily.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Pumbavu, huko tanzania mmefundishwa kuwa wakimbizi wote hawana pesa🤣🤣 Somalia/S.Sudan zilipoanguka refugees wenye pesa wali- settle Kenya nzima, wale maskini wanawekwa kwenye camps. President wa Somalia mwenyewe familia yake iko hapa. Jinga
 
Back
Top Bottom