Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi streets
IMG_123454_20623.jpg
IMG_123339_20623.jpg
IMG_123448_20623.jpg
IMG_123349_20623.jpg
IMG_123412_20623.jpg
IMG_123438_20623.jpg
IMG_123424_20623.jpg
IMG_123402_20623.jpg
 
Hivi wale omba omba wenu wana passports?
Kwasababu nchi yenu imejaa Rushwa hadi kwenye makwapa, mnapokea rushwa toka kwa Alshabaab na ombaomba Kisha mnawaruhusu kuingia nchini kuwatoa vidole KDF Kila siku.

Na tutaendelea kuwatawala Kila eneo, hadi tutawatia mimba wake zenu, hamna la kutufanya.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kwasababu nchi yenu imejaa Rushwa hadi kwenye makwapa, mnapokea rushwa toka kwa Alshabaab na ombaomba Kisha mnawaruhusu kuingia nchini kuwatoa vidole KDF Kila siku.

Na tutaendelea kuwatawala Kila eneo, hadi tutawatia mimba wake zenu, hamna la kutufanya.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
No one uses azam in Kenya na hamna atakayezinunua
 
Kwasababu nchi yenu imejaa Rushwa hadi kwenye makwapa, mnapokea rushwa toka kwa Alshabaab na ombaomba Kisha mnawaruhusu kuingia nchini kuwatoa vidole KDF Kila siku.

Na tutaendelea kuwatawala Kila eneo, hadi tutawatia mimba wake zenu, hamna la kutufanya.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Atleast umekubali mnatuma omba omba kenya, sina mengine ya kuongeza
 
Mombasa over 50% ni wakristo. Kenya si nchi ya kiislamu
Acha uongo ww over 80% pwani yote ya kenya ni waislamu hata ukiangalia lamu over 95% ni waislamu nimekwenda malindi over 85% ni waislamu

Kwann umasema uongo ili ukusaidie nn?? Hvi ww unafkiri kuna mtu utamdanganya humu ndani hvi mfano mm we unaeza nidanganya nn ??😅😅
 
Wakenya kumbe mmeumizwa sana na hili la wasudan, poleni sana ila tuliwaambia kwamba huu moto hamtawezana nao, wakati nyinyi mmezubaa zubaa sisi wenzenu tuliamua kubadilika na kuijenga nchi yetu katika kila idara kuanzia elimu, afya na miundombinu bora, tegemea maumivu zaidi kila inapoitwa leo kutakuwa na jipya la kuwaumiza, yani tukija kwenye michezo tunawapiga, tukija kwenye peace index tunawafumua, tukija kwenye utali hamuwezani, tukija kwenye infrastructures ndio kabisa
Tatizo lenu watanzania ni kujipendekeza kwa waarabu👇🏾👇🏾
 
Acha uongo ww over 80% pwani yote ya kenya ni waislamu hata ukiangalia lamu over 95% ni waislamu nimekwenda malindi over 85% ni waislamu

Kwann umasema uongo ili ukusaidie nn?? Hvi ww unafkiri kuna mtu utamdanganya humu ndani hvi mfano mm we unaeza nidanganya nn ??
We umezoea tu kuropokwa and huijui kenya kunishinda. Kwenye counties 6 za coast, wakristo ni 2.4m while waislamu ni 1.6m according to the 2019 census. Muslims wapo majority only in lamu, kwale na tana river
 
Back
Top Bottom