much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 14,065
- 21,549
Tanzania ni kubwa Si kama Kenya Sasa huyo alimbelea Tanzania ipi?Na huo ubovu wake, kila anayetembelea nchi hizi mbili anasema za Kenya ni bora kuliko za Bongo.
Tanzania ni kubwa Si kama Kenya Sasa huyo alimbelea Tanzania ipi?Na huo ubovu wake, kila anayetembelea nchi hizi mbili anasema za Kenya ni bora kuliko za Bongo.
Hamna flyover yoyote kijijini ambayo haikufanyiwa due diligence. Flyover zote zimejengwa sababu that particular area iliziitaji. Kwa mfano, hili eneo liliripoti accidents nyingi sana juu ya poor visibility splays, tangu hii interchange ijengwe, accident zimepunguka.Duu viongozi wenu walikuwa wanajenga dual road na flyover Hadi vijijini bila sababu ili waoverprice na wapige hela ndo maana mnadeni yasiyolipika na hamjui pesa imekwenda wapi
Ameongelea Dar na Nairobi akasema barabara za Nairobi ni bora kuliko za Dar.Tanzania ni kubwa Si kama Kenya Sasa huyo alimbelea Tanzania ipi?
Labda za kibera zitakuwa ndo Bora zaidiAmeongelea Dar na Nairobi akasema barabara za Nairobi ni bora kuliko za Dar.
Amesema hivo yeye mwenyewe. Usinichukie mimi mjumbe tu.Labda za kibera zitakuwa ndo Bora zaidi
Tatizo hatuna uhakika kama ashawahi kufika DarAmesema hivo yeye mwenyewe. Usinichukie mimi mjumbe tu.
Baba levo pia huna uhakika amewahi fika darTatizo hatuna uhakika kama ashawahi kufika Dar

Uhakika tunao na udhibitisho tunao kwa video.Tatizo hatuna uhakika kama ashawahi kufika Dar
Huwa unajiita engineer ila naona huna engineering mind kabisa. Hiyo barabara imefanyiwa vehicle count kubaini kama inahitaji kuwa dualed ama mnadual tu kisa mmesikia barabara za Kenya zinakuwa dualed?
Ni sawa na umtoe mtu anayeishi na kufanya shughuli zake kibera ghafla aje mbezi beach Sijui atacoment vipi juu ya Dar na NairobiBaba levo pia huna uhakika amewahi fika dar![]()
Soma kuelewa sio kujibu.Tusijenge kwa sababu nyie mmejenga bila mipango
Mtu aliyeishi Kibera kwa miaka mingi ameitembea Nairobi na anaielewa. Ukimpeleka Mbezi bado atakuambia Mbezi haifikii Kilimani, kileleshwa, Lavington, Langata, Springvalley n.k.Ni sawa na umtoe mtu anayeishi na kufanya shughuli zake kibera ghafla aje mbezi beach Sijui atacoment vipi juu ya Dar na Nairobi
Hivi Rungwa to Itigi ipo EPC plus F ?Wewe ni mbuzi,unaijua Tanzam Highway wewe? Hiyo ndio Barabara Busy kuliko zote Tanzania kama sio EAC yote so acha kuropoka na kujifariji huku unaona wivu wa kike.
Better in what?Ukiwaambia wanabisha yet kila anayetembelea nchi hizi mbili anakiri Kenya ni better.![]()