chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,296
- 45,083
Kwenye utalii hatufake number kama mashakahola
Nakuelewa sana bro inapigwa abstract mmoja matata ama tingatinga art!😂😂😂😂 Unaweza potea, Talking about phase 3 hili eneo hapa azam linahitaji artist mmoja wa kipekee, limekaa kimkakati sana na ni moja ya city's vibration iliokosekana Dar View attachment 2630272
View attachment 2630278View attachment 2630279
Kwenye utalii hatufake number kama mashakahola
😂😂😂😂 Sijui huwa ili iweje!Jamaa zetu ni mahidar wa ku fake number hao 🤣🤣🤣
Wenzetu wanaitaka kwa nguvu zote hii title ya kuwa EA's economic hub, kwahyo hata kwa kutengeneza number fake wao kwao freshi tu alimradi watajwe juu ya mataifa mengine ya East Africa 🤣🤣🤣😂😂😂😂 Sijui huwa ili iweje!
Tatizo mashakahola akili za kujiongeza ndio yamenyimwa, serikali yako inakudanganya imejenga kilometers 7000 ndani ya mwaka mmoja wakati barabara ya kwenda huko jehanamu kwenu ni tope tupu halafu bado inaamini, wanadanganywa wana watumiaji wa internet million 50 na yenyewe bila reasoning inakubali.Wenzetu wanaitaka kwa nguvu zote hii title ya kuwa EA's economic hub, kwahyo hata kwa kutengeneza number fake wao kwao freshi tu alimradi watajwe juu ya mataifa mengine ya East Africa 🤣🤣🤣
Invisible roads. 🤣🤣🤣Tatizo mashakahola akili za kujiongeza ndio yamenyimwa, serikali yako inakudanganya imejenga kilometers 7000 ndani ya mwaka mmoja wakati barabara ya kwenda huko jehanamu kwenu ni tope tupu halafu bado inaamini, wanadanganywa wana watumiaji wa internet million 50 na yenyewe bila reasoning inakubali.
Watanzania sisi sometimes nasemaga tupo negative minded sana sababu improvement statistic yoyote kutoka serikalini wabongo huwa tunazipokeaga kwa maswali na shingoupande sana mpaka tujiridhishe vya kutosha ndio tuiamini, mashakahola sasa 😂😂😂 kama minyumbu
Naomba msaada, umuhimu wa hii project hapo??Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati wa uzinduzi wa Ikulu mpya ya Chamwino Dodoma leo amesema baada ya kukamilika kwa Ikulu sasa wanatarajia kujenga jengo la kisasa (Samia Complex) ndani ya eneo hilo kubwa la Ikulu lenye Ekari 8473 na tayari michoro ipo tayari ambapo kwa sasa wanahangaika kutafuta fedha ili ujenzi uanze.
Rais Dkt. Samia amesema “Eneo hili bado kuna kazi ya kufanya na hatua inayofuata ni ujenzi wa jengo la kisasa ambalo Wasaidizi wangu wameliita Samia Complex ambalo litakuwa na ukumbi wa mikutano wa Watu Elfu mbili mpaka Elfu tatu, nyumba za Viongozi hasa Majirani zetu wa EAC na SADC kutakuwa na Zanzibar Lounge, East Africa Lounge, uwanja wa golf, viwanja vya michezo, njia za ndege na sehemu za historia za Viongozi wa Nchi zetu”
#MillardAyoUPDATESView attachment 2629683
JKIA is the best Airport in Africa
View attachment 2630074View attachment 2630075View attachment 2630077View attachment 2630078

















DAr is bigger than New York and ParisWewe ndio hauna Elimu… Wapi nimésema Nairobi is bigger than Dar?… Dar the one you like to show ni kasehemu kadogo sana compared to Nairobi…. Lakini once you add the rest 80% ya Dar which is Uswaziland, then of course Dar ni Kubwa zaidi. …🤣🤣🤣🤣
Lazima umjue utake usitake, sisi ndiyo giant wa EA tutawa colonize in almost everything, tulianza chakula now tunakuja kwenye mambo mengine.eti azam, huo ni mnyama gani
Sisi tunaendelea kujitangaza tu, kilio chako hakituhusu, now ukiongelea soka unaiongelea Tz kwa hapa EA, huko CAF ni Simba na Yanga tu ndiyo zinajulikana kama mkombozi wa EA, bendera yetu inapepea na itazidi kupepea. Tumeanza na vilabu vya soka then national team inafuata, mpira hatujui ila tuna pesa za kufanya timu zetu ziwe vzr kama unavyoona kwa ss Yanga na Simba tunachukua mchezaji yeyote yule tunayemtaka ili aje kututengenezea timu mana sisi Watz mpira kwetu dini.Sasa nani huwa anawatch hizi upuzi?
Mipira za afrika ni Very Amateur.
Ni kama.kuwatch under 16 za premier league.
Third world infrastructure, mnapenda vitu vzr ila pesa hamna ya kufanya vionekane kama mlipokopi, sisi pekeetu hapa EA ndiyo huwa tunaweka infrastructure kama za ulaya.
Who told you a statehouse need to be such uselessly big!?🤣🤣🤣 Unataka kutaja hiki kibanda chenu vs Tz state houses? 👇yours inakaa shule ya msingi 🤣🤣View attachment 2630222View attachment 2630217View attachment 2630219vs hii ikulu kubwa zaidi Afrika.? 👇DSMView attachment 2630228View attachment 2630230View attachment 2630232View attachment 2630234View attachment 2630240Dodoma 👇View attachment 2630244View attachment 2630251View attachment 2630253View attachment 2630257.. Tz ni balaa lingine mzee show up some respects
🤣🤣🤣🤣 We ni fala .. Hii hapa ikulu ya US in their capital city 👇Who told you a statehouse need to be such uselessly big!?
Look at the White House in the US
View attachment 2630457
Who told you a statehouse need to be such uselessly big!?
Look at the White House in the US
View attachment 2630457
Very true..Tukimaliza miradi yote mikubwa hasa ya umeme, sgr, barabara, kilimo, dodoma tukiwa bado hatujavuka $45B tutakua tumefaulu sana
Uwa sielewi kwann wakenya wanapenda ujenzi wa aina hii nyumba aina madirisha wala milango sasa sijui waingilia juu kama ndegeThis poorly built house is yet to collapse. This I tell you.
View attachment 2630258