Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati wa uzinduzi wa Ikulu mpya ya Chamwino Dodoma leo amesema baada ya kukamilika kwa Ikulu sasa wanatarajia kujenga jengo la kisasa (Samia Complex) ndani ya eneo hilo kubwa la Ikulu lenye Ekari 8473 na tayari michoro ipo tayari ambapo kwa sasa wanahangaika kutafuta fedha ili ujenzi uanze.

Rais Dkt. Samia amesema “Eneo hili bado kuna kazi ya kufanya na hatua inayofuata ni ujenzi wa jengo la kisasa ambalo Wasaidizi wangu wameliita Samia Complex ambalo litakuwa na ukumbi wa mikutano wa Watu Elfu mbili mpaka Elfu tatu, nyumba za Viongozi hasa Majirani zetu wa EAC na SADC kutakuwa na Zanzibar Lounge, East Africa Lounge, uwanja wa golf, viwanja vya michezo, njia za ndege na sehemu za historia za Viongozi wa Nchi zetu”
#MillardAyoUPDATESView attachment 2629683
Mbona Serengeti au Kilimanjaro lounges hamna?
 
Mashakahola expect these new look soonest into your stores

20230521_104659.jpg
20230521_104701.jpg
20230521_104704.jpg
20230521_104859.jpg


 
Wacha upumbavu wewe, mchezo mkubwa duniani ni football tu , na ndio mchezo unasaidia ukuaji wa chumi za mataifa mengi all around the world, michezo mingine ni ziada tu
Uzuri nchi zinajua football ziko sawa michezo zingine kubwa pia.

Infact FIFA top 20 Wako na strong rugby teams too.
 
Na walikuwa wanajiita superpower Russia.
Nchi ya upuzi wamelemewa na nchi maskini Eastern Europe Ukraine.
Hio ni special operation sio vita jua kutofautisha 🤣🤣🤣 wanaochochea vita ni europe na bwana wao lakini russia yeye anafanya special operation ya kijeshi tu na kuondosha zile bio lab zao zilizosimikwa kwenye ardhi ya USSR

Huna ulijualo wewe kiazi
 
kivipi? wakati Yapi Merkezi wanajenga reli kwenda Malaba!
Hilo ndio jambo linaloshangaza kwa Uganda, wanataka kujenga SGR kwenda Malaba wakati Kenya imeshindwa kufikisha reli Yao Malaba.

Tuchukulie kwamba Kenya wataweza kufikisha hiyo reli Yao hadi Malaba, Uganda wanajenga reli ya umeme Kama Tanzania, "full automatic", Kenya ni diesel na train zao ni "manual", huo muingiliano upoje?.

Ninachokiona hapa ni Uganda wanataka kujichanganya, wao wangejenga reli kuelekea Rwanda Ili kuunganisha na reli ya Tanzania.
 
Back
Top Bottom