Sasa miradi ya nini na kitu tunacho tayari.? 🤣🤣🤣 Uko tushatoka mzee sisi sio level yenu kondoo nyinyiKwa hiyo tuzo ndio mradi? Niletee mradi wa hiyo thamani hapo Tanga 😁😁
Hizi Bodaboda na vituktuk ndio legecy ya Kikwete. Zingepigwa marufuku kwakweli!
Lile soko la East Africa likikamilika itakua unyama sana, nitakuomba tena picha ya hili eneo 🔥🔥🔥
hapa ni wapi?
Eti extended canopyTeargas Teargass hvi ulisema hii inaitwajeView attachment 2618271View attachment 2618272View attachment 2618273







Jamaa huwa upumbafu sana!Eti extended canopy![]()
Sijui atalificha wapi sura lake bovuEti extended canopy![]()
Wakenya huwa wanadhani sisi ni size yao kabisa, hawajui kama GDP ya Tz ni kubwa kuliko yao na ndiyo maana tunawaonesha kwa vitendo.Jamaa huwa upumbafu sana!
NDINDA hana hiyana kama wafalme wa Umaskini wa kule Kaskazini, ukimuomba anatekeleza………😄Lile soko la East Africa likikamilika itakua unyama sana, nitakuomba tena picha ya hili eneo 🔥🔥🔥
Tena lisura la kinyang'au nyang’au😂Sijui atalificha wapi sura lake bovu
Tukiwaambia namna projects zetu zinakwenda kutuheshimisha wanadhani tunapiga sound, sasa maskini yao kila jambo linakwenda so precisely tena ndani ya muda mfupi sana. Mi nadhani kufika 2025 tutakuwa tumebaki peke yetu humu, hata kama tunajua hawa jamaa zetu mishipa yao ya aibu ilishakatika lakini fedhea inayowakumba humu inataka moyo wa jiwe kuendelea kubishana na reality. Hakika nimeamini Time Is the Best Teacher.Wakenya huwa wanadhani sisi ni size yao kabisa, hawajui kama GDP ya Tz ni kubwa kuliko yao na ndiyo maana tunawaonesha kwa vitendo.
Extended Canopy roof on platforms!Teargas Teargass hvi ulisema hii inaitwaje 😅😅👇👇👇View attachment 2618271View attachment 2618272View attachment 2618273
Tuliwaambia mda mrefu kwamba itafika kipindi tutabaki pekeetu humu tupeane vitasa wenyewe kwa wenyewe.Tukiwaambia namna projects zetu zinakwenda kutuheshimisha wanadhani tunapiga sound, sasa maskini yao kila jambo linakwenda so precisely tena ndani ya muda mfupi sana. Mi nadhani kufika 2025 tutakuwa tumebaki peke yetu humu, hata kama tunajua hawa jamaa zetu mishipa yao ya aibu ilishakatika lakini fedhea inayowakumba humu inataka moyo wa jiwe kuendelea kubishana na reality. Hakika nimeamini Time Is the Best Teacher.