Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huwa sifahamu ngombe hawa Nairobi hutoka wapi!? Ni wa nani hawa ngombe kweli!?
View attachment 2613907
Lazima watakuwa wa "mdosi" mmoja hapo Nai.

Wakenya huwa mnatabia ya kunyamazia madudu yanayofanywa na wenzenu. Hiyo "mwenzenu" iwe ni kabila au mdosi, mtakaa kimya. Mmeshindwa kuwa na usafiri wa umma wa kistaarabu kwasababu viongozi "wenyu" wanawaonea haya cartel wa matatu.
 
Uhalisia ni mdogo sana hapa!mara nyingi miradi mikubwa kama huanza na facts za Takwimu (Statistical Data), historical data za miaka at least kumi iliyopita idadi ya abiria uliowahudumia wa ndani na nje! Idadi ya miruko ya ndege na aina ya ndege zilizotua na kuruka, Idadi ya mizigo kwa tani,Peak Hours then mnafanya forecast and projections kwa miaka kadhaa mbele kuanzia hapo sasa ndo naeza anza kupata picha mnataka kiwanja chenu kiwe na capacity ya kiasi gani na hicho kiwanja kitatumika kwa miaka mingapi kabla ya kuendelezwa tena. Ni wastage of funds kwa maana, ukiachana na gharama za kukijenga kuna gharama ya kuki-maintain pia hapo ndo kimbembe!
Hao jamaa kwa kutumia media walikuwa wanajisifia sana kwa maendeleo, eti wanaakili sana. Alipo kuja Magu ilionekana wazi nani anaakili iliyopindukia na nusu.
 
Sama boy 255
Wanaziita ABC Twin brothers
Dar-Mbeya
Dar- Njombe
abcupperclass_1683519591797423.jpg
 
 
Back
Top Bottom