Kama ambavyo wakenya hukusanyika kumueleza matatizo Yao kwake Kama rais, vipi anajisikia vibaya yeye kukusanyika na wenzake kueleza matatizo Yao kwa rais wa nchi tajiri ambayo Kila siku anaipigia magoti.
Marais wa Africa ni sawa na wananchi wa kawaida mbele ya Marais wa nchi tajiri, wote huenda huko kuomba usaidizi wa Kila aina, hivi Rutto anaweza kumueleza nini rais wa China, Japan au USA?
Kamwe haiwezikani kwa mbwa au paka kutotii amri za mtu anayempa chakula, badala ya kuonyesha ujeuri na kiburi, anapaswa kuikomboa Kenya katika hali ya utegemezi wa nchi tajiri, wakenya hawawezi kumuelewa rais anayejaribu kuwadindia watu wanaowaletea chakula Cha msaada kuokoa maisha yao.
Sent from my itel L5007 using
JamiiForums mobile app