The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Kunyalanders eagerly queueing to enter Uropa
Ni muda muafaka tupandishe tozo kwa hawa wazamiaji
View attachment 2581867









Kunyalanders eagerly queueing to enter Uropa
Ni muda muafaka tupandishe tozo kwa hawa wazamiaji
View attachment 2581867









Tuanze Ligi ya kuorodhesha kuondoa ubishi.Sidhani kama kuna mkoa uko na Kampuni nyingi za Mabasi kuzidi Tanga hapa Tz.. wewe ni wa porini huyajui haya.. kampuni za Mabasi kila kukicha zinaingiza vyombo vipya
Wakunya wote wangependa kuwa Watz ila kuna Watz wachache sana kama sio hakuna kabisa wanaopenda kuwa wakunya.Kunyalanders eagerly queueing to enter Uropa
Ni muda muafaka tupandishe tozo kwa hawa wazamiaji
View attachment 2581867
Nimeona only 3 buses worth talking about (scania) out of hizo zoteUsafiri wa mikoani Tanzania View attachment 2579068View attachment 2579069View attachment 2579071View attachment 2579072View attachment 2579073View attachment 2579074View attachment 2579076View attachment 2579077View attachment 2579078View attachment 2579079View attachment 2579080View attachment 2579081View attachment 2579082View attachment 2579083View attachment 2579084View attachment 2579085View attachment 2579086View attachment 2579087View attachment 2579089View attachment 2579090View attachment 2579091
Kaa kwa kutulia, kuhusu league ya Mabasi, kafungueni Uzi muwaalike burundi mjadili, sisi sio size yenu.Nimeona only 3 buses worth talking about (scania) out of hizo zote
😂😂😂😂 sahihi kabisa ila kuna mtanzania yupi ambae anawaza Kenya linapokuja suala la mahali pa kujivinjari?Wakunya wote wangependa kuwa Watz ila kuna Watz wachache sana kama sio hakuna kabisa wanaopenda kuwa wakunya.
Huwa tunawanyanyasa kweli kweli mara tuwafukuze mara tuchome vifaranga vyao mara tuwaondolee vibali vya kufanya biashara lkn wapo tuu hawakomisahihi kabisa ila kuna mtanzania yupi ambae anawaza Kenya linapokuja suala la mahali pa kujivinjari?
Wakenya wanaipenda Tanzania kutoka moyoni, nikiangalia namna Watanzania walivyodry mbele ya wakenya lakini haiwaondolei wakenya tamaa ya kuja Tanzania![]()














Hizo ulizozidisqualify zipo level ya hizi commoners za kwenu?Nimeona only 3 buses worth talking about (scania) out of hizo zote
😂😂😂😂😂 juzi wamenangwa kwamba hawana forex na wapo hovyo lakini cha kushangaza leo wapo kwenye line wanakanyagana kuingia bongo, hivi hawa watu vipi? 😂😂😂😂Huwa tunawanyanyasa kweli kweli mara tuwafukuze mara tuchome vifaranga vyao mara tuwaondolee vibali vya kufanya biashara lkn wapo tuu hawakomi
Huwa tunawachukulia viazi kama wacomoro lkn hawakomi maskini ya Mungu![]()









juzi wamenangwa kwamba hawana forex na wapo hovyo lakini cha kushangaza leo wapo kwenye line wanakanyagana kuingia bongo, hivi hawa watu vipi?
![]()









wanatunanga na kututetea wenyewe kwa wenyewe 😅😅😅Kuna mkenya mmoja kule you tube analalamika eti Tanzanians do not like us, they don't listen our music, they don't watch our sports, they don't like anything from Kenya but we Kenyans follow each and everything from Tanzanians from music, football, culture and even politics.
Niliposoma nikacheka alafu nikamuambia kwani mnalazimishwa kutufuatilia? Si mbele mbele chenu, nikamwambia kwanza kuna Watz hata Kenya hawaijui kabisa, me mwenyewe miaka michache iliyopita nilikuwa cjui chochote kuhusu Kenya, basi wacha atukane![]()
kweli nimeamini kunyaland imefilisika
huwa wanasema Rwanda ni kama Kisii, leo wanaenda kuwaomba akili za kupata kodi! 😂😂😂
Ebhn kampa vitasa sio vya nchi hii











Tanga kuna hizi kampuni za mabasi
1.Tawakal
2.Tahmeed
3.Tashrifu
4.Ratco
5.Nacharo (mpya)
6.Raha leo
7.Simba mtoto
8.Tayasar
9.Raqeeb
10.KSK
11.Bembea
Na zinginezo nimezisahau majina. Hizi kampuni zote base zao zipo Tanga city, ni ni luxury haswaa .. na zinafanya Safar zao za Tanga-Dar at least 4 times a day kila kampuni .. ratiba ya ratco hii so far 👇View attachment 2581995.. with no doubt naweza pia kukwambia watu wa Tanga wanasafir kwa idadi kubwa kwa siku mara kumi ya wale wa mbeya. ChoiceVariable. Hiyo mbeya mnaitia tu umuhimu lakini haiwezi ingia kwenye league ya Tanga hata siku moja.. by the way VIP buses zinakaa hivi 👇.
Umetaja gari karibu zote base zao sio Mbeya.. kwa kifupi Mbeya haiwezani na Tanga kaka .. gari nimetaja mimi zote ni za home. Sijataja zile ambazo ni za kupita tu kama zitaamua kubadili route bas haziji tena ukoMbeya Kuna kampuni zifuatazo
1.Sauli,
2.Achimwene,
3.Newforce,
4.Greenline,
5.Abood,
6.Majinjah,
7.Mastet lux ,
8.ABC Upper Class,
9.Mohsol Express,
10.Mbeya Expree,
11.Shabiby line,
12.Rungwe,
Nitaendelea baadae ukizoleta za Tanga.
Umeanza kuhamisha magoli,hakuna Cha base swala ni kampuni zinazoenda Mbeya.Umetaja gari karibu zote base zao sio Mbeya.. kwa kifupi Mbeya haiwezani na Tanga kaka .. gari nimetaja mimi zote ni za home. Sijataja zile ambazo ni za kupita tu kama zitaamua kubadili route bas haziji tena uko