COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
Off to kericho for elections.. The town is awesome....
unajiaibisha zaidi...kusema some kenyans are hostile towards artists ina maana walivaa chupi za ngozi na kuanza kuwapiga marungu...sio??
nadhani ilitakiwa uandike "don't take it personal badala ya personally.
wakenya mnajinasibu kukifahamu kingereza ilhali mnaandika broken english.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
huo ndio kweli ndugu....unajiaibisha zaidi...kusema some kenyans are hostile

yap I agree walivaa chupi za ngozi na wakakimbizana na Chris Brown...ndio nakubaliana nawe...huo ndio uwelihuo ndio kweli ndugu....![]()
![]()
Sub-Ushago experienceOff to kericho for elections.. The town is awesome....![]()
![]()
tayari nimeshakufunza...huoni haraka sana ukakimbilia google kwenda kuhakikisha?....mtanzania hawezi akamfunza mkenya english

Ndio mnyama wewe hapoFara ndio mnyama yupi![]()
![]()
![]()
Ivi kwanini mnaona English ni lugha ya maana sana , mchina hajui English lakini anapata tenda kubwa sana uku dubiani , knowledge haiji na kujua lugha , lugha ni njia ya communication tu , wachina wapo uku bongo tunawasiliana kwa ishara na kazi zinafanyikakitu mtanzania anaweza sema fluent ya English labda ni wimbo wa happy birthday. na Christmas
Ugly.Nganya manenos
![]()
Kenyans and their things are damn ugly, I Don't know why!Nganya manenos
![]()
Nice one. Hii imetulia.Salgaa...
![]()
limekaa kama kibanda umiza Kwa DJ lufufu,Nganya manenos
![]()