Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Off to kericho for elections.. The town is awesome....
6951768693779aa122696a1738c34277.jpg
4c6b9751eff8e142c4d028e75f062736.jpg
 
kitu mtanzania anaweza sema fluent ya English labda ni wimbo wa happy birthday. na Christmas
Ivi kwanini mnaona English ni lugha ya maana sana , mchina hajui English lakini anapata tenda kubwa sana uku dubiani , knowledge haiji na kujua lugha , lugha ni njia ya communication tu , wachina wapo uku bongo tunawasiliana kwa ishara na kazi zinafanyika
 
Katika vitu kinachonifanya niwashangae wakenya, na wakati mwingine nifikie hatua ya kuwadharau ni mambo mawili
1)Ukabila
2)Kudharau lugha ya taifa la Kenya na kutukuza Kiingereza
 
Back
Top Bottom