Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mashabiki wa Yanga kule Congo DRC.
IMG-20230327-WA0007.jpg
 
Nyumba zimepangwa kama nzi, no planning, no space at all, no wonder Nairobi Ndio jiji chafu zaidi EA na Afrika kwa ujumla.
tapatalk_-901343475_711x492.jpg
tapatalk_-673807102_703x460.jpg
tapatalk_-1359061174_712x449.jpg
tapatalk_-1306347544_362x241.jpg
 
Vifo vingi vinatokea Kenya kutokana na maghorofa kuanguka, elimu yao ni mbovu sana haiwezi kutoa wahandisi bora, pia zaidi ya ubovu wa elimu Kenya rushwa na tamaa vinachangia plus lack of patriotism. Wakenya wengi hawakufundishwa uzalendo kupelekea wengi kuichukia nchi yao.
Hata wao wanajiuliza 😆😆😆
 
Back
Top Bottom