Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 34,105
- 32,927
Huyo nyang'au huwezi kumbadilisha; mwache aendelee kuamini anachokiamini.Hivi ninyi mnamjua Diamond au mnamsikia, mtu ambaye anawekeza miradi pamoja na Holly wood super stars, ninyi mnataka beach za Diani, mashamba ya miti na shule, are you really serious?.
Mwanamziki pekee ambaye anaweza kumzidi Diamond katika uwekezaji ukanda huu ni Fally Ipupa na Kabda Kofii Olomide kwasababu ameanza zamani.
Wasafi TV na Redio stations pekee, zinatosha kumfanya kuwa mwanamziki tajiri kuwazidi wanamziki wa Kenya wote kwa pamoja.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
uwekezaji wa majengo unaofanyika Dodoma ingekua ni Nairobi mpaka lile pori lenu la wanyama linalochukua 50% ya Nairobi lingekua construction site88 Nairobi.
Wengine wako na gorofa tatu with none under construction na bado wanataka kujilinganisha na baba wa East, Central and West African Cities πππ
View attachment 2554428
colonial mentalityNairobi Commuter Railways.
View attachment 2554443
Bado gikomba ndio default option for majority of kunyalandersThe biggest mall in Tanzania πππ
View attachment 2554445
Hawa wakulungwa ni wa kuwauzia kila kitu hata maji itabidi tujenge mabomba makubwa ya kuwapelekea maji toka lake victoria maana it seems they cannot do any project successfully ulaji unakuwa mwingi mwisho project hujifia na wananchi kuteseka.Kunyaland mpo? Maji Tanzania ni 100% bila GDP ya Makaratasi [emoji16][emoji16]
Sawa lakini all our districts and regions are connected nyie sasa ni ushuzi kama wa GDP number kubwa lakini hamuwezi kujilisha pia forex reserves kubwa lakini kuna uhaba wa dollar. Something is off somewhere [emoji848] data za kupika as usual tumezoea.Sasa mko tu na 7000 km of tarmac in tz while Kenya is at 30,000km with a total road network of 180,000...facts are against your wishful thinking. Do you even know what a policy is.
Tanzania maintains positive trade balance in both SADC and EACTunafanya nao biashara yenye faida kuliko nyie wanuka mavi.View attachment 2554420
Wewe ulitembea dunia hadi ukagundua Zurich ipo France! πππWewe hujatembea Dunia, ndio sababu utapapatikia Malaya Kama Akothe, huyo hana uwezo wa kumiliki Nyumba kubwa Kama hiyo Europe, hana helahuyo, onyesha miradi gani inayomuingizia pesa?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Weka official price kulingana na aina ya gari mfanoHiyo Ferrari ya Akothee can buy two Cadillac escalade mbili za Diamond Hadi abakishe change[emoji23][emoji23]
Kama Atlanta.
Dodoma gani? Hile yenye huwa inacharazwa na tatu city?uwekezaji wa majengo unaofanyika Dodoma ingekua ni Nairobi mpaka lile pori lenu la wanyama linalochukua 50% ya Nairobi lingekua construction site
Haya Sasa ebu angalia bei ya Rolls Royce phantom alafu urudi tenaWeka official price kulingana na aina ya gari mfano
View attachment 2554772
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app