joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Kama kawaida kupenda kujisifu wakati hakuna hata "one military mission" KDF imefanikisha.
Watu wanauana kwa kuandamana, ambapo ni haki yao kikatiba?? Mmelelewa kwenye nchi ya kijamaa na kibepari hadi vitu basics kwenye demokrasia zinakaa vita kwenuKwa hali wanayopitia hawa jamaa tutegemee vifo vingi kutokea, mana lazima wauwane safari hii, kama mnabisha nimekaa paleee [emoji117][emoji117]View attachment 2552668
Nenda kalilie kwa choo.Only in Tanzania shule zinakaa rentals..zero aesthetics na functionality
Kichapo kimewachanganya, oohh according to Wikipedia tuna shule 10000 alafu nyie mna 5000, haya tuonesheni hizo shule hawana, inatumwa shule moja alafu kila mkenya anaipost, wanakesha ku edit article kule Wikipedia ili waonekane wako juu ya Tz but tukienda ground shuzi linawatoka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Demokrasia ya kutembea na majeneza?Watu wanauana kwa kuandamana, ambapo ni haki yao kikatiba?? Mmelelewa kwenye nchi ya kijamaa na kibepari hadi vitu basics kwenye demokrasia zinakaa vita kwenu
Walichubeba ni sufuria na mfano wa jeneza kusymbolize wanachokipigania. Ila we unajua niniDemokrasia ya kutembea na majeneza?
Demokrasia ya kutembea na visu?
Demokrasia ya kuuana? Bora tubaki hv hv na nchi yetu iliyobarikiwa kila kitu.
Wakenya wamepost quality schools nyinyi mmeweka mashule funny funny. Battle ni nchi gani ina shule nzuri si quantity ya shule, ambayo kenya ina shule maradufu ya Tanzania. Tunataka kuona shule nzuri nzuri si shule tuKichapo kimewachanganya, oohh according to Wikipedia tuna shule 10000 alafu nyie mna 5000, haya tuonesheni hizo shule hawana, inatumwa shule moja alafu kila mkenya anaipost, wanakesha ku edit article kule Wikipedia ili waonekane wako juu ya Tz but tukienda ground shuzi linawatoka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwahiyo huko kwenu kuuana ni haki ya kikatiba?, Kwahiyo katiba yenu inaruhusu kuuana lakini haina uwezo wa kuwasaidia kupata chakula na kuondokana na ugumu wa maisha, hovyo sana ninyi.Watu wanauana kwa kuandamana, ambapo ni haki yao kikatiba?? Mmelelewa kwenye nchi ya kijamaa na kibepari hadi vitu basics kwenye demokrasia zinakaa vita kwenu
Watu wanaandamana kupigania haki zao, kuuana wameuana kwa akili zako.Kwahiyo huko kwenu kuuana ni haki ya kikatiba?, Kwahiyo katiba yenu inaruhusu kuuana lakini haina uwezo wa kuwasaidia kupata chakula na kuondokana na ugumu wa maisha, hovyo sana ninyi.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
upuzi tuGALANOS SECONDARY SCHOOL
with no lift facility you can imagine the torture the kids go through.....[emoji1787][emoji1787]How uglier can it get...Apartment za Zimmerman hizi[emoji1787][emoji1787]
Walikosana na salon [emoji1787]ST. MATTHEW'S SECONDARY SCHOOL
hizi ni bedsitter za GithuraiBENDEL MEMORIAL SECONDARY SCHOOL
Hizi shule chomelea huwa kazi.....AFRICAN TABATA HIGH SCHOOL
This explains why kina jichoboi and the rest behave the way they do… you can imagine how a common school kina jichoboi attended looks like and figure out why wako vile wako sai 🤣Hii hapa ni theatre ya the most expensive school in Tanzania. Viti za plastic. 🤣 🤣 🤣
Hebu fananisha na ya MPESA School - shule ambayo kama hujiwezi haulipi school fees. Na bado wanataka tushindane. 🤣🤣🤣
CC Geza Ulole chongchung