Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

27328302de157647203eb580b1977e78.jpg
Jangid Plaza OYSTERBAY THE MILLION TEAM (TMT) HEAD QOUTERS
 
Wapi evidence???...mlimani mall yenyewe ni 35000 sq ft pekee...at a Rupa mall eldoret ni kubwa
hahahaha. Bado upo nyuma ya muda ndugu. Hiyo imepanuliwa. Na hapo DANUBE GSM ni Funitures shop pekee. Kama huamini acha, very simple.
 
sikia we mkenya gari ikisafiri katika constant acceleration kutoka dar to Moro =2.5hrs yaan Fanya 80km/hr divide by 200km afu in reality from dar to Moro ni masaa 4,OK
turudi kwenye tren ambayo inatembea 160km/hr divide distance of railway 300km= 1.87hr

ko hapa tumepunguza time,cost na distance ya kusafiri tatzo huelewe una lalamika tu
Wataweza wapi hesabu kutwa kujifanya wazungu tu.
 
ok. train ya Kenya, average speed yake ni 120km/h
maximum huwa inafika mpaka 148 - 160km/hr
Ni muhimu kujipa matumaini, ni stages za maisha ya binadamu akikutana na janga kubwa kwanza anaaza na denial stage, then negotiation stage, hapa ndipo mlipo kwa sasa, kwanza mlipinga Tanzania haiwezi jenga electrical railway, baadae mlipoona inajengwa mkaingia hatuaa ya kujipa matumaini kwamba mtaweka umeme, ukweli ni kwamba, wale wakina Maina waliwadanganya baada ya kuona mnawabana sana, ila hakuna cha kuweka umeme wala nini, wachina ndiyo watakaoiendesha hadinwarudishe pesa yao, nani ataweka umeme katika kipindi hicho cha miaka kumi chini ya wachina?, mlishakosea songeni mbele, ila muwe makini katika miradi mingine msikurupuke tena
 
Ni muhimu kujipa matumaini, ni stages za maisha ya binadamu akikutana na janga kubwa kwanza anaaza na denial stage, then negotiation stage, hapa ndipo mlipo kwa sasa, kwanza mlipinga Tanzania haiwezi jenga electrical railway, baadae mlipoona inajengwa mkaingia hatuaa ya kujipa matumaini kwamba mtaweka umeme, ukweli ni kwamba, wale wakina Maina waliwadanganya baada ya kuona mnawabana sana, ila hakuna cha kuweka umeme wala nini, wachina ndiyo watakaoiendesha hadinwarudishe pesa yao, nani ataweka umeme katika kipindi hicho cha miaka kumi chini ya wachina?, mlishakosea songeni mbele, ila muwe makini katika miradi mingine msikurupuke tena
k
 
Honestly I expected an electric train as per the jubilee manifesto. ..but then again issues such as power came up hence shelved the plan and the government promised to increase power production in 5 years before upgrading it to an electric one within the 5 years. sometimes I think ku work as per your uwezo ndio inafaa hata jirani wako akikuchekelea.

expectation vs reality sort of thing as a management model
 
Back
Top Bottom