Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahaaa hawa jamaa nawasiwasi ni wakenya sio bure,maanke wanaibukiaga patamu hafu wanatema pumba na kupotea
Acheni excuse za kipumbavu.Hata siku suruali ikipasuka na kukuacha makalio nje,ukiambiwa na mkenya utabishana haupo uchi, kwa sababu jamaa ni mkenya. Akili zilizoliwa na funza.Nyie ndio mizigo ktk hii nchi.Mnabebwa na watu wachache sana nyie akili duni.Ndio maana mnapenda ushenzi unatwa ujamaa.Kwa vile wengine ndio wanapambana kujenga nchi,kisha nyie mnagombania serikali ili mkale.
 
nimekupuuza....
Hopeless.Majibu ya kipuuzi yanaonyesha una utaahira.Taahira huwa anamajibu ya dharau kwa vitu yupo very wrong. Kwa vile thread imeweka comparisons za kipuuzi ndio na nyie mjaze upuuzi? Naturala resources unaweza ringia km unajua unafanya nini,ila km upo km wanyama.Utaringia nini sasa?Km uda wote wehu mpo busy kutetea ujinga.Nitashangaa nini mkiwa makuwadi wa wageni kuchukua mali?SI nyie mnasifu maccm wenzenu wakilia kuwa wakenye wanachukua madini yenu na kuuza km yao, wanauza mlima km wao, wananunua mazao hadi kijiji cha mwisho kwa bei ya bia, wakati wenzenu wakijaribu kufanya biashara mnawazuia?Mna laana kenge nyie.Ndio maana kila mahali duniani li ccm likienda lazima liseme limebaguliwa,sijui chuki.Km hadi dunia inawachukia mnaona fahari gani.
 
Pengine ujinga wa ccm unakusumbua sana.Nipo long time hapa, na nimewakata kimblele wakenya. ILa kwa vile maccm akili zao na uwezo wao ni kurukia chadema kwa vile wanajua hawatadhurika kwa vile wanalindwa na kila kitu ktk dola. Ila nje ya hapo , maccm yote ni hovyo,hata maprof wao ukiwasikia ktk majukwaa makubwa mnata huruma. Sasa kwa akili yake wewe gamba, hapa vitu vya asili vinakusaidia nini?Hata wanyama si wanaweza ishi nchi nzuri kuliko binadamu.

Ongezeni vitu vinavyoonyesha maedeleo ya binadamu ,vitu vilivyotengenezwa na binadamu kwa elimu, juhudi , uvumilivuna akili na utamaduni mzuri.
.
Da, mzee mi sikuelewi kabisa, kwanini usiongelee mambo ya chama huko jukwaa la siasa? kwani kuna ubaya gani mtu akijivunia vitu vya asili?

Octoba 2015 maelfu ya samaki yalikufa huko Sakhalin island, Russia kutokana na kushuka ghafla kwa joto na hii inasemekana ni kutokana na unchafuzi wa mazingira.

Kwahiyo kuwa na mandhari au mazingira mazuri ya asili ambayo hayajaharibiwa ni jambo la fahari na la kujivunia.
 
These are some things that make you wonder if some humans are medically upright. This mediocrity has reached levels that should be impossible. I f*kin hate the culprits behind these.

nasa1.jpg

nasa2.jpg

nasa3.jpg

nasa4.jpg

nasa5.jpg

nasa6.jpg

nasa7.jpg

nasa8.jpg

nasa9.jpg
 
Pengine ujinga wa ccm unakusumbua sana.Nipo long time hapa, na nimewakata kimblele wakenya. ILa kwa vile maccm akili zao na uwezo wao ni kurukia chadema kwa vile wanajua hawatadhurika kwa vile wanalindwa na kila kitu ktk dola. Ila nje ya hapo , maccm yote ni hovyo,hata maprof wao ukiwasikia ktk majukwaa makubwa mnata huruma. Sasa kwa akili yake wewe gamba, hapa vitu vya asili vinakusaidia nini?Hata wanyama si wanaweza ishi nchi nzuri kuliko binadamu.

Ongezeni vitu vinavyoonyesha maedeleo ya binadamu ,vitu vilivyotengenezwa na binadamu kwa elimu, juhudi , uvumilivuna akili na utamaduni mzuri.
Wewe boya acha ubishi, upuuzi wako wa ccm na sijui chadema peleka huko,
Sio kila mtu ana interest na vyama.
 
kwanini tv station za kenya zinaonyesha zaidi movie za kinijeria na sio movie za kenya?.

huwa naliona hilo kupitia citizen tv na k24.sijawahi ona zikionyesha movie za kenya...kila siku wanaonyesha za wanaijeria.

NB:
mimi sio shabiki wa bongo movies ila hizi ni trailer za baadhi ya movie za kibongo nilizowahi kuzitazama na zikanivutia.



That's the sad reality, citizen tv plays only Nigerian "movies" which is basically bullsh*t. K24 plays kenyan movies a lot, i admire them because they have been trying to promote local content, but they also play a couple of Nigerian bullsh*t.
But kenyan content both movie and episodes are usually so good if you ever pay attention, i mean check out SHUGA. This one's coming soon.
GoW.jpg
 
These are some things that make you wonder if some humans are medically upright. This mediocrity has reached levels that should be impossible. I f*kin hate the culprits behind these.

nasa1.jpg

nasa2.jpg

nasa3.jpg

nasa4.jpg

nasa5.jpg

nasa6.jpg

nasa7.jpg

nasa8.jpg

nasa9.jpg
that's the result of not practicing politics
wisely.

raila and his supporters are to be blamed for this type of stupidity.
 
Acehni wehu nyie maccm.Na jinsi mnapeana support ktk ujinga mnatia aibu.Umenirukia sijui ni chadema?Chadema sio mtazania?

Mlivyo wajinga mmeweka Lushoto na Matema.Nazo ni Dar? Au mtasema ni capital city kumaanisha ni nchi, sasa hujanipa hoja hapa. Hayo mazingira ya asili utajisifu nayo nini?Hata wanyama porini wanaweza jisifu nayo.Acheni undezi,mnatuaabisha wapuuzi nyie halafu mnashangilina km majinga.Onyesha kitu kinahcoonyesha binadamu waliishi tanzania na sio wanyama na mimea.Kuna nchi za ulaya wanaringia mafanikio bila kuwa na hata na robo ya rasilimali za tz.Ndio maana leo wanakuja kuona kwa pesa. Km hamjui nini mnashindana nacho na wakenya ni vipi sasa ,mtajua km mmeshinda?Wapuuzi sana nyie ndio maana, akili zenu ni kupiga wachaga vita, sasa wakenya mtawapiga vipi vita wakati polisi wenu hawafiki kule?wakati waandishi wenu uchwara hawafiki kule?
.
Umefura kama mkizi? Vipi kuna jamaa yako katumbuliwa mahali nini?

Sikiliza ndugu, hapa tunaelimishana na wakenya ambao baadhi yao wanadharau za kishamba. Wao mara nyingi hupendelea kuhamisha magoli na kukimbilia kuweka picha za kericho sijui Mombasa, wakati hii mada inahusu Nai na Dar. Sasa, na sisi tunajibu kwa kuwaonesha kuwa tunayo mashamba ya chai Tanzania, tatizo liko wapi?

Wewe unaona sawa hawa jamaa wakipiga domo kuchafua taswira ya nchi yetu? Unajidai kutetea wachagga unaona sawa hawa jamaa wakisema mlima kilimanjaro upo kenya? Huoni kuwa wao kujitangaza kuwa mlima uko huko na watalii wengi kushuka JKIA (kwa sababu ya uongo wao), mapato ya KIA hupungua kwa kiasi kikubwa? Watu wetu wanaotegemea sekta ya utalii huathirika, na hata kama watalii wakigundua kuwa mlima uko Tanzania, teyari wanakuwa wameshatumia kiasi kikubwa cha fedha za kigeni Kenya.

Wewe hujiulizi kwanini wakenya wengi wanakesha hapa kila siku, unafikiri ni watu amabo hawana kitu cha maana cha kufanya? Kwa taarifa yako tuu wakenya wanatumia sana 'publicity' kukuza uchumi wao na kitu kimoja wanachotumia ni kutuchafua watanzania. Ukienda Nairaland.com wapo, Skyscrapercity.com wapo, kote huko wakijitangaza na hii wameifanya kwa miaka mingi.

Ukienda wikipedia wamekuwa wakiweka picha mbaya za mji wetu wa Dar, wakijua fika kuwa mtu yeyote ambaye haijui Dar ataenda huko kupata taarifa. Watu tumejaribu mara kadhaa kuweka picha nzuri lakini jamaa wanazitoa na kuweka zilezile za zamani, hiyo ndo akili ya wakenya.

Ndiyo maana watu tumechagua kiwanja hiki hapa kuendeleza mapambano kwasababu kuu mbili;
  • kwanza, hawawezi badilisha kilichobandikwa na mtu mwingine kama wafanyavyo wikipedia.
  • Pili, Google bots are camping at JF servers, waiting for new pages to index (every second).
Kwa hiyo chochote kinacho bandikwa hapa kinakuwa 'indexed' haraka kwasababu 'parameters' nyingi za 'google algorithm' (domain age, content uniqueness and freshness, ip diversity and so forth) JF inakidhi na kufanya iaminike kama 'power house' katika East Africa.

Najua ndugu, unachukulia poa mada kama hizi na wachangiaji wake lakini usishangae kukuta wakenya tunaolumbana nao hapa ni kikosi maalumu cha serikali. kwahiyo wewe endelea kupigia tarumbeta Chadema, na sisi tutaipigia Tanzania.
 
that's the result of not practicing politics
wisely.

raila and his supporters are to be blamed for this type of stupidity.
They should be sued, fined... So that they feel the pinch coz they know well that demonstrations may cause such plus closure of businesses in the CBD but they don't give it amy consideration.
 
.
Umefura kama mkizi? Vipi kuna jamaa yako katumbuliwa mahali nini?

Sikiliza ndugu, hapa tunaelimisha wakenya ambao baadhi yao wanadharau za kishamba. Wao mara nyingi hupendelea kuhamisha magoli na kukimbilia kuweka picha za kericho sijui Mombasa, wakati hii mada inahusu Nai na Dar. Sasa na sisi tunajibu kwa kuwaonesha kuwa hata sisi tunayo hayo mashamba ya chai, tatizo liko wapi?

Wewe unaona sawa hawa jamaa wakipiga domo kuchafua taswira ya nchi yetu? Wewe unayejidai kutetea wachagga unaona sawa hawa jamaa wakisema mlima kilimanjaro upo kenya? Huoni kuwa wao kujitangaza kuwa mlima uko Kenya na watalii wengi kushukia JKIA kwa sababu ya uongo wao, mapato ya KIA hupungua kwa kiasi kikubwa? Matokeo yake watu wote wanaotegemea sekta ya utalii huathirika, na hata kama watalii wakigundua kuwa mlima uko Tanzania, teyari wanakuwa wameshatumia kiasi kikubwa cha fedha za kigeni Kenya.

Wewe hujiulizi kwanini wakenya wengi wanakesha hapa kubandika kila siku, unafikiri ni watu amabo hawana kitu cha maana cha kufanya? Kwa taarifa yako tuu wakenya wanatumia sana 'publicity' kukuza uchumi wao na kitu kimoja wanacho tumia ni kutuchafua watanzania. Ukienda Naira wapo, Skyscrapercity wapo na hii wameifanya kwa miaka mingi.

Ukienda wikipedia wamekuwa wakiweka picha mbaya za mji wetu wa Dar, wakijua fika kuwa mtu yeyote ambaye haijui Dar ataenda huko kupata taarifa. Watu tumejaribu mara kadhaa kuweka picha nzuri lakini jamaa wanazitoa na kuweka zilezile za 2002, hiyo ndo akili ya wakenya.

Ndiyo maana watu tumechangua kiwanja hiki hapa kuendeleza mapambano kwasababu kuu mbili;

kwanza, hawawezi badilisha kilichobandikwa na mtu mwingine kama wafanyavyo wikipedia, pili (I know this for a fact) Google bots are camping at JF servers, waiting for new pages to index, every second.

Najua ndugu, unachukulia poa mada kama hizi na wachangiaji wake lakini usishangae kukuta wakenya tunaolumbana nao hapa ni kikosi maalumu cha serikali. kwahiyo wewe endelea kupigia tarumbeta Chadema, na sisi tutaipigia Tanzania.
chamoto,
usitumie nguvu kubwa kiasi hicho kulijibu hilo lijinga.....hilo jamaa tumekuwa nalo hapa jf kwa miaka mingi lakini mpaka hii leo halijui hata kanuni za kiuandishi....nilijinga fulani hivi la kuupuzwa.

linaandika maneno mengi lakini hata halieleweki linachokusudia kukiwakilisha.

linaonekana walimu wake wa waliolifundisha shule ya msingi walipata ugumu sana katika kulielewesha.

linacho jua ni kupiga tu porojo na kufanya harakati uchwara za chadema.

hivi hayo maandiko yake umeyaelewa?.

nakumbuka miaka ya nyuma watu wengi hapa jf walikuwa wakilifanyia dhihaka kuhusu uandishi wake...yaani ilikuwa ni kichekesho.

fikiria tu sisi watanzania wenzake tuna- struggle kuyaelewa maandishi yake namna hii,vipi kuhusu wakenya ambao baadhi yao kiswahili chetu kinawapa shida?.si watahisi tu wanajadiliana na mtu mjinga.
 
Pengine ujinga wa ccm unakusumbua sana.Nipo long time hapa, na nimewakata kimblele wakenya. ILa kwa vile maccm akili zao na uwezo wao ni kurukia chadema kwa vile wanajua hawatadhurika kwa vile wanalindwa na kila kitu ktk dola. Ila nje ya hapo , maccm yote ni hovyo,hata maprof wao ukiwasikia ktk majukwaa makubwa mnata huruma. Sasa kwa akili yake wewe gamba, hapa vitu vya asili vinakusaidia nini?Hata wanyama si wanaweza ishi nchi nzuri kuliko binadamu.

Ongezeni vitu vinavyoonyesha maedeleo ya binadamu ,vitu vilivyotengenezwa na binadamu kwa elimu, juhudi , uvumilivuna akili na utamaduni mzuri.
Bila shaka ulikua mpiga dili wewe😀😀😀😀
Ama kweli vyuma vimekaza 😛😛😛
 
another truthful Tanzanian being attacked by his fellow countrymen..
emoji23.png
emoji23.png
.mtu akisema ukweli wanamwita mpiga dili
emoji23.png
emoji23.png
 
Kampala City should emulate Nairobi’s orderly development
Last month, my wife and I spent a week in Nairobi visiting family members, taking in the beauty of the city, plus ‘medical tourism’. Nairobi is a city of my youth, I went to university there from 1967 -70. It was and still is the most cosmopolitan city in East Africa. I used to joke with my friends in Makerere and Dar-es-Salaam that while some of us were studying in a real city, they were stuck in small towns.

Since I left university, I have gone back to Nairobi countless times. The city has continued to grow in an orderly and planned manner, almost non-stop. A break of a couple of years from going there will surprise you; as old sleepy neighbourhoods you knew are turned into new suburbs complete with skyscrapers, highways, shopping centres, schools, hospitals, etc., all laid out neatly with trees and plants lining the streets. This is in direct contrast to Kampala which has haphazardly expanded in size without actually developing.

Kampala City, if you can call it a city, is nothing more than a collection of ‘slum’ dwellings, with a very poor infrastructure dating back to the 1920s – 30s when the city had a population of less than 300,000 (compared to 3m – 4m today). Although it has expanded in size from seven hills to over 22 hills, the city infrastructure has lagged behind by decades. Less than 10 per cent of Kampala is covered by the central sewerage system. There are hardly any good roads to talk about and a large number of residents of Kampala have no running water.

Besides the infrastructure, the city authority has abdicated its planning responsibility and its engineers, health inspectors, market supervisors and what have you, only exist in name. Unplanned buildings have collapsed in the middle of the city killing and injuring people and hardly anyone has been prosecuted. There are cases of well-connected people blocking off public roads and converting them into private roads. Others have actually built in road reserves, well knowing that they are blocking other people’s access.

Plots of land are sub-divided into ridiculously tiny sizes and huge ugly structures are crammed into them. The few roads that exist are unlit, except when the Chogms of this world come to town. The bulbs are thereafter stolen. A small downpour floods the city because Nakivubo Channel and other outlets have become garbage dumps. Incidentally, less than 60 per cent of the garbage generated everyday is ever collected, part of it by companies privately engaged and paid for by residents. The city authority remains backward, inefficient and corrupt.

Going back to Nairobi, the city is unrecognisable from what it was in 1970s, 1980s, 1990s and even in 2000! It has developed in an orderly fashion with fully integrated satellite towns; all built according to the city plans and by-laws, which specify in detail the type of developments allowed, down to the sizes of plot in which they are constructed. In the city, boda bodas and matatus are banned in the central business district which is serviced by private cars, buses and special hire taxis. Plans are underway to build a commuter train service that will make transport more affordable to the local people commuting into the city.

Upscale suburbs like Riverside, Milimani, Kilimani, Lavington, Mathaiga, Karen, Lower Kabete, etc., are comparable to upscale neighbourhoods in a developed country. The number of foreigners (including Ugandans) investing in real estate in Nairobi, is on the rise.

For Kampala to remotely resemble Nairobi the following must happen:
• All illegal structures must be demolished regardless of who owns them.
• A new master plan for Kampala should be drawn up in consultation with all stakeholders.
• The law that established the Kampala Capital City Authority must be reviewed in order to clearly define the functions / roles of the Lord Mayor and those of the Executive Director of the Kampala Capital City Authority. The present situation of deliberate ambiguity in their roles is untenable and will only lead to the total collapse of order in the city.
• Government should inject massive resources for modernisation of the city and act as a guarantor of borrowed funds, without interfering in the running of the city.
• All professional staff should be recruited on the basis of meritocracy and not political affiliation.
• The people must be sensitised on all new plans for Kampala and made partners in its development.
 
that's the result of not practicing politics
wisely.

raila and his supporters are to be blamed for this type of stupidity.
Mi ni NASA
that's the result of not practicing politics
wisely.

raila and his supporters are to be blamed for this type of stupidity.
I support NASA but these demonstrations have to be called off. Normally ni wezi na wahuni ndio hujaza maandamano za kisiasa....
 
Back
Top Bottom