Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

11363760_1032505876789230_1241462141_n.jpg
 
hii ndio 17fl????😀😀😀😀😀😀😀 kweli vyuma vimekaza
dd114c327cc0ec67aa2d596c5aaeef47.jpg
Yah itakua 17floors na kwa sasa ipo 5th floor.. Itakua hub ya xinua news agency
7d471ecbfa78ccd54e7b22cd2008ebd1.jpg

Xinhua hub, CCTV hub, China-Africa Development Fund headquarters, AVIC headquarters... further cementing Nairobi's place as China's gateway to Africa.
 
Yah itakua 17floors na kwa sasa ipo 5th floor.. Itakua hub ya xinua news agency
7d471ecbfa78ccd54e7b22cd2008ebd1.jpg

Xinhua hub, CCTV hub, China-Africa Development Fund headquarters, AVIC headquarters... further cementing Nairobi's place as China's gateway to Africa.
hvi wewe uko serious kweli is that pic look like 17fl????😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Nadhani hukunielewa nilichomaanisha, kwa mfano hebu nenda uganda section haiko active kwa sababu waganda hawapo na wewe mwenyewe licha ya mapovu yako kua wakenya hawamake impact yeyote hapa jf umepiga kambi hii section ya kikenya ukibishana nao kila kuchao

ila nimefurahi kuona wakenya karibia wote mliopo jf,mmewekeza nguvu zenu katika thread hii...yaani mkiamka tu asubuhi mnawaza battle ya dar vs nairobi....mkitoka lunch mnawaza battle ya dar vs nairobi....kabla hamjapanda kitandani kulala mnawaza battle ya dar vs nairobi...yaani dar imewashika "videadly".
 
.
Yaani wewe huna hata miezi mitano hapa JF unajifanya mjuaji hivyo? Usiwe na akili za mbayuwayu, jaribu hata kuangalia mada za mwazo mwanzo za hii Kenyan forum uone zilianzishwa na nani. Kwa taarifa yako tuu; vagi letu na nyinyi lilianza miaka ya kati hapo hasa 'Gezaulole' alipolianzisha kwasababu ya baadhi yenu kujifanya wajuaji .

Kabla ya hapo habari za kenya zilikuwa zikibandikwa 'international forums' na Watz, baada ya kuchoka kujadili siasa za ndani. Watu walipumzika 'international forums' kujadili mada mbalimbali za nje ya Tz, Wakenya wengi kama wakina 'smatta', 'Ab_Titchaz' na 'nomasana' tulikuwa tukijadiliana kishkaji na utani wa hapa na pale, hakukuwa na majigambo wala matusi (ni kama tunavyojadiliana na mwenzenu 'MK254').

Tatizo ni baadhi yenu watu wa ushagoo mliojifunza kutumia mitandao jizujuzi na kutoa tongotongo ndo mnatokwa na mapovu hapa, sitashangaa kama mmejifunza haya mambo ukubwani na kufikiri dunia yote inaizunguka Nairobi.
mtu mwenyewe umejiunga jf june 2017,hata miezi sita hujafikisha halafu unaanza kutuletea porojo zako hapa.
bcd6302cfa51dd13dfcc950de64d509a.jpg

embu tuonyeshe any sensible thread iliyoanzishwa na mkenya hapa jf yenye views 700000+

ukinionyesha,basi naahaidi nitaanza kupost picha za nairobi kila siku nikiingia jf.

These remarks show how you guys are so arrogant and have pride... Instead of just concluding that it's a nice move by both Kenyans and Tanzanians that has kept this thread alive you are there to troll someone as if you have never replied or counteracted his comments. Man up for once, you don't have to oppose everything!
Your old age in the forum doesn't emulate your maturity in any manner.
 
ila nimefurahi kuona wakenya karibia wote mliopo jf,mmewekeza nguvu zenu katika thread hii...yaani mkiamka tu asubuhi mnawaza battle ya dar vs nairobi....mkitoka lunch mnawaza battle ya dar vs nairobi....kabla hamjapanda kitandani kulala mnawaza battle ya dar vs nairobi...yaani dar imewashika "videadly".
umejaza ufala kwa kichwa.
 
ila nimefurahi kuona wakenya karibia wote mliopo jf,mmewekeza nguvu zenu katika thread hii...yaani mkiamka tu asubuhi mnawaza battle ya dar vs nairobi....mkitoka lunch mnawaza battle ya dar vs nairobi....kabla hamjapanda kitandani kulala mnawaza battle ya dar vs nairobi...yaani dar imewashika "videadly".
hawana amani na hawaamini wakionacho😀😀😀😀😀😀
 
views za hii thread = 900,000
jf total members = <450,000

which means nearly 500,000 non-JF members have visited this thread. probly they were googling about Nairobi, and they bumped into this unknown fishing village. good PR stunts.
Thank you Nairobi for making dar is slum famous!
 
hahahaha asante kwa povu😀😀😀😀😀😀😀

Katika hizi forum kuna tu bongolala mmoja tu ambaye kidogo yeye hufikiria jambo kabla aliandike hapa na huyo ni non other than stevebee,lakini the likes of choboy01 na kadoda11 hao ni vizaaza tu vichwa vyao hamna ni uji tu umejaa.
 
These remarks show how you guys are so arrogant and have pride... Instead of just concluding that it's a nice move by both Kenyans and Tanzanians that has kept this thread alive you are there to troll someone as if you have never replied or counteracted his comments. Man up for once, you don't have to oppose everything!
don't take it serious bro...i was not intending to irritate him,but just to show the immaturity of his membership. such words would make sense if were spoken by an older member of jf from kenya.
 
views za hii thread = 900,000
jf total members = <450,000

which means nearly 500,000 non-JF members have visited this thread. probly they were googling about Nairobi

umenivunja mbavu zangu uliposema "probly they were googling about nairobi".... imebidi nitoke nje ya ofisi niende nje nikacheke kwa sauti...bwahahhaha....
 
ila nimefurahi kuona wakenya karibia wote mliopo jf,mmewekeza nguvu zenu katika thread hii...yaani mkiamka tu asubuhi mnawaza battle ya dar vs nairobi....mkitoka lunch mnawaza battle ya dar vs nairobi....kabla hamjapanda kitandani kulala mnawaza battle ya dar vs nairobi...yaani dar imewashika "videadly".
Heri sisi ni wakenya, wewe unafanya nini kwa thread iko na title "kenyan news and politics"
Besides, you guys are always thrash talking on all kenyan posts and even starting threads with Tanzanian issues here, kwani thread yenu mmekaukiwa ama ni attention yu mnatafuta, ushawai kuniona nikipost kwenye issues za Tz? Nobody ever complains but it's time y'all man up.
 
umenivunja mbavu zangu uliposema "probly they were googling about nairobi".... imebidi nitoke nje ya ofisi niende nje nikacheke kwa sauti...bwahahhaha....
of course Nairobi is famous. no one knows about dar is slum.... For What?
 
Katika hizi forum kuna tu bongolala mmoja tu ambaye kidogo yeye hufikiria jambo kabla aliandike hapa na huyo ni non other than stevebee,lakini the likes of choboy01 na kadoda11 hao ni vizaaza tu vichwa vyao hamna ni uji tu umejaa.
wallah manzi wangu wa kimombasani(injinia uchwara)nikiona tu maandishi yako....nakuwa hoi bin taabani...hata sijiwezi....wallah nakuahidi nitakuja mombasa kukutia jichoni....mwanamke mtamu sana weye...(isome kwa lafudhi ya pwani huku sauti ukiitolea puani).
 
Back
Top Bottom