Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kama sio sisi wakenya kua hapa JF ingekua inaboo sana
.
Yaani wewe huna hata miezi mitano hapa JF unajifanya mjuaji hivyo? Usiwe na akili za mbayuwayu, jaribu hata kuangalia mada za mwazo mwanzo za hii Kenyan forum uone zilianzishwa na nani. Kwa taarifa yako tuu; vagi letu na nyinyi lilianza miaka ya kati hapo hasa 'Gezaulole' alipolianzisha kwasababu ya baadhi yenu kujifanya wajuaji .

Kabla ya hapo habari za kenya zilikuwa zikibandikwa 'international forums' na Watz, baada ya kuchoka kujadili siasa za ndani. Watu walipumzika 'international forums' kujadili mada mbalimbali za nje ya Tz, Wakenya wengi kama wakina 'smatta', 'Ab_Titchaz' na 'nomasana' tulikuwa tukijadiliana kishkaji na utani wa hapa na pale, hakukuwa na majigambo wala matusi (ni kama tunavyojadiliana na mwenzenu 'MK254').

Tatizo ni baadhi yenu watu wa ushagoo mliojifunza kutumia mitandao jizujuzi na kutoa tongotongo ndo mnatokwa na mapovu hapa, sitashangaa kama mmejifunza haya mambo ukubwani na kufikiri dunia yote inaizunguka Nairobi.
 
.
Yaani wewe huna hata miezi mitano hapa JF unajifanya mjuaji hivyo? Usiwe na akili za mbayuwayu, jaribu hata kuangalia mada za mwazo mwanzo za hii Kenyan forum uone zilianzishwa na nani. Kwa taarifa yako tuu; vagi letu na nyinyi lilianza miaka ya kati hapo hasa 'Gezaulole' alipolianzisha kwasababu ya baadhi yenu kujifanya wajuaji .

Kabla ya hapo habari za kenya zilikuwa zikibandikwa 'international forums' na Watz, baada ya kuchoka kujadili siasa za ndani. Watu walipumzika 'international forums' kujadili mada mbalimbali za nje ya Tz, Wakenya wengi kama wakina 'smatta', 'Ab_Titchaz' na 'nomasana' tulikuwa tukijadiliana kishkaji na utani wa hapa na pale, hakukuwa na majigambo wala matusi (ni kama tunavyojadiliana na mwenzenu 'MK254').

Tatizo ni baadhi yenu watu wa ushagoo mliojifunza kutumia mitandao jizujuzi na kutoa tongotongo ndo mnatokwa na mapovu hapa, sitashangaa kama mmejifunza haya mambo ukubwani na kufikiri dunia yote inaizunguka Nairobi.
Pole kwa povu. ....nitakununulia bajia roho itulie
 
"Tanzania Govt has scared quite a lot of investors & its not a good thing to do. Once an investor complains the rest will run away"
Aliko Dangote
 
"Tanzania Govt has scared quite a lot of investors & its not a good thing to do. Once an investor complains the rest will run away"
Aliko Dangote
if dongote is experiencing some unfair situations to trade with tanzania,then convince him to shift his capital to kenya.
 
dd114c327cc0ec67aa2d596c5aaeef47.jpg
35c8c11649f9e922d4960ba81a6b5de3.jpg
394a007645b572ced88e69f7a0e88737.jpg
 

Nairobi City at night

True to his word, it now appears that the President wasn’t mincing his words given the recent developments witnessed by the flooding of multinationals among other global companies into the city under the sun; Nairobi. Nairobi is undoubtedly emerging as Africa’s business hub with the entrance of huge names such as IBM, Visa International, Pepsi, Nestle, General Electric, Google, World Bank’s International Finance Corporation (IFC), Foton Automobiles and South Africa’s Rand Bank among others.

NAIROBI GRADUALLY EMERGING AS AFRICA’S BUSINESS HUB

US-based General Electric Company; one of the world’s leading producer of small and large jet engines for commercial and military aircrafts; which formally had its two corporate offices in Africa based in Cairo, Egypt and the other in Johannesburg, South Africa, has laid out plans to relocate its regional branches to Nairobi. What this means is that both its offices shall be downgraded to act as operational hubs with Nairobi being its Africa’s corporate headquarters.

Confirming the report, General Electric Company President Yibrah Tesfaghi said that the company shall shift its operations to Nairobi where plans shall be formulated of how to attract new business opportunities in the greater African continent.

Also on the elevation scale is International Finance Corporation (IFC) office based in Nairobi which according to the Regional Director Jean Philipper Prosper, would be upgraded to act as the regional hub and serve a total of 26 nations in the Eastern and Southern Africa region.

Nairobi continues to attract more and more interested corporate bodies into the ever flourishing market with the world’s second largest food and Beverage Company Pepsi-Cola announcing plans of establishing a manufacturing plant in Nairobi’s Ruaraka area. Once established, the plant would serve as the regional headquarters and it’s estimated to cost the company an estimated Ksh. 2.4 billion.

Nestle, Dow Chemicals and Pfizer- a US-based pharmaceutical company- are just some of the other companies that have shown interest in setting foot in Nairobi and their headquarters to act as their regional hub in the entire African continent.
 
Back
Top Bottom