Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani mtu ananionyesha edited picture trying to prove that wanaezaunda gari za kununuliwa na nchi zingine 😂😂

This is pure editing.

images (8).jpeg
 
Be serious. There’s no way that Tanzania’s HDI is better than Botswana’s or South Africa’s. I’ve filtered out the list by rank and the region as Sub-Saharan Africa. Unfortunately, Tanzania is not even in the top 20. More work needs to be done.

View attachment 2450310
Katika kitu nitampongeza Samia is most projects will.boost HDI
Education projects
Water Projects
Na health projects anazifanya kwa nguvu hizi zitaongeza conditions of living
 
Huu uzi naona ufungwe. Matusi tupu. Hakuna mtu anasaidika. Ukweli ni kuwa Kenya, Tz na Africa nzima ni nchi maskini. Lakini kama vile geto kunao wanaopenda kujigamba. Truth is that, compared to developed countries, all of Africa is just poverty and misery.
YAH ULICHOSEMA NI KWELI ILA KINACHOENDELA NI KUBISHANA TUU.
NDIO KENYA IN UCHUMI MKUBWA EAST AFRICA ILO HAKUNA ANAYEPINGA NA KENYA NDIO WANA VIWANDA VINGI KULIKO WOTE HAPA EAST AFRICA.
BUT BOTH STILL NCHI MASKINI NA MADENI KIBAO.
 
Kafie mbele sio kazi yangu hiyo, mm nmekupa habari ambazo zipo world wide you can search by yourself.
Sasa kati yangu nawe nani anafaa afie mbali? Wewe unatumia Tweets kupiga kelele hapa wakati mimi nakupa taarifa ya UN kutoka kwa website yao wenyewe. I knew you got nothing, empty rhetoric as always
 
A quick check to that profile I found out that he is a Tanzanian this make me wonder if that page sio mtanzania.

Everybody commenting on that handle is a Tanzanian.

Mngekua na maisha mazuri mngekufa na njaa. Hata huko ukraine kwenye vita ushasikia wanakufa na njaa.

Hakuna tajiri mwenye njaa. Yaani bado mna struggle kwenye basic needs food hamna, shelter ndio mabati house na ghorofa zinazodondoka mwezi haupiti halafu mnakuaje na uchumi bora. Nyie mnachopenda ni sifa tu. Not otherwise

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mngekua na maisha mazuri mngekufa na njaa. Hata huko ukraine kwenye vita ushasikia wanakufa na njaa.

Hakuna tajiri mwenye njaa. Yaani bado mna struggle kwenye basic needs food hamna, shelter ndio mabati house na ghorofa zinazodondoka mwezi haupiti halafu mnakuaje na uchumi bora. Nyie mnachopenda ni sifa tu. Not otherwise

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumekubali. Majibizano iishe sasa. Ukweli ni kuwa Kenya tuko nyuma katika mambo mengi. Kama hujawahi elewa Wakenya na watu wa kujigamba. Ni mdomo tu.
 
Katika kitu nitampongeza Samia is most projects will.boost HDI
Education projects
Water Projects
Na health projects anazifanya kwa nguvu hizi zitaongeza conditions of living
Our HDI will rise if our per Capita income grows, Our life expectancy improves, and the number of years our citizens spend in school also increases.

We are heavily reliant on natural resources (natural capital). That’s what people call ‘Resource Curse.” Higher growth will come about if industry, technology, and human capital are revolutionized. Our people are the best ingredients if we are to make the economy grow faster. If we invest more in human welfare, the benefits in the long run will be greater and marvelous.
 
We all know the story

View attachment 2450630
HDI is an indicator of national well being, and sadly, if Kenya’s HDI is better than ours, it doesn’t matter how many posts about their poverty make you happy, our situation is much worse than theirs. Take a moment to think about that.
 
Back
Top Bottom