Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

What most Tanzanians in this forum expected
View attachment 2441239View attachment 2441240View attachment 2441242

Reality check...
View attachment 2441248View attachment 2441251
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😃

Tanzanians right now trying to reach the contractor to figure out what went wrong with the buret tlains they "ordered" View attachment 2441256😂😂😂😂😂
Nilichogundua ni kuwa, Kenya ni watu wenye roho mbaya zaidi nilivyofikiria na wanasubiri kwa hamu kubwa kutofanikiwa kwa Tanzania.

Ingawa kila kitu kiko wazi ya kuwa, zaidi ya locomotives na wagons 1400 kuwasili nchini na kandarasi zimegawiwa kwa makampuni mpaka China kama CRRC, CRG na kwingineko lakini kwa sababu za roho mbaya wao na wanasiasa wa upinzani wameamua kubaki na wanachotaka kusikia or kuona kikitokea.


Let me keep it pretty simple by saying:

There are many train contracts given by the government to various companies across the world including freight wagons from companies, such as: China Railway Rolling Stock Corporation (CRRC).

In the passenger train contract, there are three types of contracts: there is first class, second class and third class. Those arrived from Korea are a third class.

Hyundai Rotem was awarded a contract to manufacture high-speed trains (EMUs) Electrical Multiple Units (First Class).

The Germans have a contract to repair second-hand double-decker trains (Second Class).


Nafikiri nimeeleweka.
 
Nilichogundua ni kuwa, Kenya ni watu wenye roho mbaya zaidi nilivyofikiria na wanasubiri kwa hamu kubwa kutofanikiwa kwa Tanzania.

Ingawa kila kitu kiko wazi ya kuwa, zaidi ya locomotives na wagons 1400 kuwasili nchini na kandarasi zimegawiwa kwa makampuni mpaka China kama CRRC, CRG na kwingineko lakini kwa sababu za roho mbaya wao na wanasiasa wa upinzani wameamua kubaki na wanachotaka kusikia or kuona kikitokea.
Ni lini watanzania walitaka Kenya ifanikiwe kwa lolote. Angalia posts za vilaza wenzako Ichoboy na Thebest007 kuhusu kenya then take this nonsense away
 
Ni lini watanzania walitaka Kenya ifanikiwe kwa lolote. Angalia posts za vilaza wenzako Ichoboy na Thebest007 kuhusu kenya then take this nonsense away

Hyundai Rotem wins Tanzania EMU order​

Jul 7, 2021 / Rolling Stock
Hyundai Rotem has won a 335.4 billion Won (US$ 296.5m) order for electric multiple units (EMUs) and electric locomotives in Tanzania.
Hyundai Rotem will supply 80 EMUs and 17 electric locomotives to the Tanzania Railways Corporation (TRC) by 2024.

For more: info

Haya tuendelee kujifurahisha. hizo za Hyundai zitachelewa, lakini kuna huu mitumba bora wa Gorofa kwa sasa iko Germany ikipigwa msasa utawasili soon this 2023.

1670620326163.png
 
Nilichogundua ni kuwa, Kenya ni watu wenye roho mbaya zaidi nilivyofikiria na wanasubiri kwa hamu kubwa kutofanikiwa kwa Tanzania.

Ingawa kila kitu kiko wazi ya kuwa, zaidi ya locomotives na wagons 1400 kuwasili nchini na kandarasi zimegawiwa kwa makampuni mpaka China kama CRRC, CRG na kwingineko lakini kwa sababu za roho mbaya wao na wanasiasa wa upinzani wameamua kubaki na wanachotaka kusikia or kuona kikitokea.
Unajua shida ni nn? Hawa wakundustan wanajaribu kujifariji kwa kulipiza baada ya kuwa tuliwacheka sn sasa wameamua kujitoa ufahamu, kiongozi wao mnuka mavi akisaidiwa na watchman Nicxie na kinachonishangaza zaidi ni pale wanapojifanya vichaa na hawaoni na wala hawataki kuongelea EMU

Yani wanaishi kwa matumaini na ukweli wanaujua, mm nakwambia hawa wakundustan kwa roho mbaya walizonazo, cku EMU zikiingia hutowaona humu ndani
 
Nilichogundua ni kuwa, Kenya ni watu wenye roho mbaya zaidi nilivyofikiria na wanasubiri kwa hamu kubwa kutofanikiwa kwa Tanzania.

Ingawa kila kitu kiko wazi ya kuwa, zaidi ya locomotives na wagons 1400 kuwasili nchini na kandarasi zimegawiwa kwa makampuni mpaka China kama CRRC, CRG na kwingineko lakini kwa sababu za roho mbaya wao na wanasiasa wa upinzani wameamua kubaki na wanachotaka kusikia or kuona kikitokea.
Tanzania is already failed. That's why only 30% of your population is connected to electricity with 12,000km of paved roads. Tanzania rank behind Burundi in development index. The fact that most Tanzanians run to Kenya and South Africa to beg and also your leaders coming to Kenya for treatment just shows how your country is a failed one.
 
Sikiliza maneno ya waziri wenu wa serikali and stop living in a fantasy world. Utashikwa na heart attack bure
Sijui mbona hawa mafala hawataki kucome in terms with reality. Their minister is clearly stating that their trains are normal lakini bado wamefurisha kichwa kubelieve that they will still get bullet trains.
 
Sikiliza maneno ya waziri wenu wa serikali and stop living in a fantasy world. Utashikwa na heart attack bure
Umeona EMU ya ITX samuel niliyopost hapo ? Au unakaza kichwa na kujifanya mpunbavu , umeona speed inayoenda
Unahisi sijaiskiliza hio speech na kwan kuna mtu kasema eMUs zitaenda 200km/hr?
Screenshot_20221210-062339_Gallery.jpg
 
Back
Top Bottom