Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

😂 😂 😂 uko na kaushamba flani dogo.., the way ume display your stuff, boss up your game😂😂😂😂😂😂
Ni katika kumuelimisha TU ndugu yako, by the way kama huna madhara kwangu naweza kukuonyesha chochote kuhusu mimi and you have nothing to do about it
 
Mkuu mbona hueleweki?, Kwani Ukraine inasaidia hizo nchi kujikinga na baridi au chakula ambacho wao wanacho cha ziada?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hawa wasaidii!

Wazungu washenzi tu. Chamoto yuko sahihi kuwa hiyo article imeandikwa kishabiki kwa kua, nchi Ukraine inapeleka hicho chakula kwa mapambio ni nchi zilizopiga kura against Russia na kuiponda Russia.

Sasa wanawasaidia ama wanasaidiana?
 
Ila mzee unafurahisha wewe mtanzania wa kawaida anakula vizur more than this, ngoja nikuonyeshe.. binafsi wala sina maisha ya watanzania wa kipato cha kawaida, kipato changu mimi ni cha chini tu . Lakini kula yangu mzee 2k tz shmama ntilie tuView attachment 2430260.. View attachment 2430261hata nikipikaga mwenyewe magetoni still natoa unyama kama huu View attachment 2430262View attachment 2430263View attachment 2430264.. haya ni maisha yangu mimi muuni tu wa magetoni, sasa kama wewe unajisifia maisha mazuri halaf ni engineer sijui . Basi uko kwenu msosi ni anasa ..
Tsh 1500 huwezi amini, Wakenya bado sn kwenye misosi
IMG_20221109_122942_938.jpg
 
Tuonyeshe Sumbawanga kijana,sikuelewi
Huwezi elewa kwa sababu umekariri maisha huko Dar..

Kama una bando la kuunga unga usifunge hizi video za Sumbawanga.

Ukiona uswazi wowote hapo unitag,Mji mzima uko well planned and organised.

Sumbawanga 👇
 

Attachments

  • 🟢Muonekano_wa_juu_SUMBAWAANGA_Tanzania_,ona_maajabu_ya_Mji_huu_wa_pekee(480p).mp4
    52.5 MB
  • Makubwa_yamefanyika_Jangwani_Sumbawanga(720p).mp4
    18.2 MB
Back
Top Bottom