Ila mzee unafurahisha wewe


mtanzania wa kawaida anakula vizur more than this, ngoja nikuonyeshe.. binafsi wala sina maisha ya watanzania wa kipato cha kawaida, kipato changu mimi ni cha chini tu . Lakini kula yangu mzee 2k tz sh

mama ntilie tu
View attachment 2430260..
View attachment 2430261hata nikipikaga mwenyewe magetoni still natoa unyama kama huu
View attachment 2430262View attachment 2430263View attachment 2430264.. haya ni maisha yangu mimi muuni tu wa magetoni, sasa kama wewe unajisifia maisha mazuri


halaf ni engineer sijui


. Basi uko kwenu msosi ni anasa ..