Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe ni zaidi ya mbwa, yaani wewe ni FISI/MBWA KOKO umeumia kuona KDF successful missions, unatafuta vijisababu uchwara ilimradi ujiliwaze, eti nalazimisha na liko wazi, fisi wewe
KDF ilishinda vita vya Kismayu iliyo kua headquarters ya Al Shabab in Somalia..,
Kwa sasa tunaitafuna Somalia kupitia port ya Kismayu...,
View attachment 2419519
Alshabab sio wale child soldiers wa DRC ambao walinyorosha TPDF kama burukenge., ama wale ragtag militia wa Mozambique wanao jidai eti ni Al qaeda, mliingisha mikia kati kati ya miguu Kagame akawaondolea aibu.
View attachment 2419520
View attachment 2419523

Kenya inaitafuna Somalia kupitia Kismayu port.., kama vile tunaitafuna Tanzania kiujanja eti mnajiita Bongo na akili ni zero, The best 007 pole sana
View attachment 2419555
View attachment 2419556
Nmekuambia unitajie kdf iliwahi kushinda vita gn na lilipiga jeshi la nchi gn unanitajia wahuni

Narudia tena nitajie vita gn iliwahi kushinda kdf ukipata niite mm mbwa usipotaja mbwa ni wewe nimekaa paleee
 
Na vile wengi ni mafukara wataweza kulipia kweli? wacha wafuate nyayo zetu, we lead others follow, nangoja pia PPP, 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
🤣 Kumbe nyie jamaa ni kondoo, hakuna kitu mmetutangulia nyie, na hii miradi ya PPP sisi ndio tulianza kufanya pia.. 2015 tuliwaonyesha njia.. mko nyuma yetu kwa miaka 7 .. tumekua tukitumia hizo gates za kulipia way back hata kabla mufkirie. 👇
nssf-pic.jpg
13051483_10153634495692309_166259266310222560_n.jpg
kig9.jpg
kig4.jpg
.. dopchinski njoo hapa we kondoo
 
I had earlier told these people kenya will give them many heartattacks, ikianza na mungu wao magafulu, hawakusikia..
ona tena hii...
another heartattack🫀 in the making. loading............................. ⏰⏳⌛
hebu ona hiii hapa.. kali sana mzee 🔥💥


Don YF uko wapi.... hebu njoo uone hii hapa. hawa wabongo bhana... ata kama ni ku 'tero-buru' 🤣🤣🤣🤣

View attachment 2419315
We had a toll facility in Tz before you.
yani vitu highprofile, highend, high-tech kaa hizi.... SpaceX !
bongo ijikute!🤔🤔
Wewe lazima utakuwa ni mpori pori (mshago).
 
Mbele ya Arusha kuna International Airpot inaitwa KIA, kutoka Arusha mpk KIA unaweza kwenda kwa bicycle.
watu huwa hawaridhiki wakina ngosha nao wanakuambia wanataka terminal nyingine wakati inayojengwa haijakamilika washadai si ya viwango na nshomile nao wanakuambia ule wakwao upo sehemu hatari kisa ajali ya PW kama vile viwanja bora duniani ajali hazitokei. Hii yote as if international flights to Bukoba and Mwanza will be guaranteed! Watu wana-undrmine sana KIA wakifikiri watalii wanatua pale kisa uwanja tu! Hawajui nyuma yake kuna chain of tourism and traveling companies that r waorking hard to bring them to their Northern circuit!
 
watu huwa hawaridhiki wakina ngosha nao wanakuambia wanataka terminal nyingine wakati inayojengwa haijakamilika washadai si ya viwango na nshomile nao wanakuambia ule wakwao upo sehemu hatari kisa ajali ya PW kama vile viwanja bora duniani ajali hazitokei. Hii yote as if international flights to Bukoba and Mwanza will be guaranteed! Watu wana-undrmine sana KIA wakifikiri watalii wanatua pale kisa uwanja tu! Hawajui nyuma yake kuna chain of tourism and traveling companies that r waorking hard to bring them to their Northern circuit!
Kuwa guaranteed sio ishu mzee...
Kiwanja kikishajengwa...kitakuwa popular tu...

Kanda ya ziwa yote pamoja na population yake hakuna kiwanja cha maana cha ndege...lazima wote waende dar au kIA ili waende nje ya nchi....huo upotevu mkubwa wa muda na usumbufu uliopo hapo?

Uwanja wa Bukoba ni hatarishi...ule wakubali walikosea kujenga pale katikati ya mji...wajenge runway nyingine terminal watajenga hata baadae...

Kuna huyu engineer alisemaga hivi
Screenshot_20221117-214521.jpg
 
Kuwa guaranteed sio ishu mzee...
Kiwanja kikishajengwa...kitakuwa popular tu...

Kanda ya ziwa yote pamoja na population yake hakuna kiwanja cha maana cha ndege...lazima wote waende dar au kIA ili waende nje ya nchi....huo upotevu mkubwa wa muda na usumbufu uliopo hapo?

Uwanja wa Bukoba ni hatarishi...ule wakubali walikosea kujenga pale katikati ya mji...wajenge runway nyingine terminal watajenga hata baadae...

Kuna huyu engineer alisemaga hiviView attachment 2419912
wacha mawazo mgando kwa hiyo ile terminal ambayo halmashauri imekula hela na kuishindwa kukamilika mpaka sasa haitaruhusu ndege za kutoka nje kutua? Tatizo ni ubinafsi! Huo uwanja wa Mwanza (cargo na PAX Terminals) na Bukoba(PAX Terminal) ni kati ya viwanja bora zaidi Tanzania! Kigoma na Tabora hawana uwanja wanahitaji uwanja wa viwango hivyo pia!

Uwanja wa Bukoba unahitaji navigation aids tu kufanya ndege itue kwa usalama kipindi hali ya hewa ni mbaya! Ila kuwa karibu na ziwa si issue kabsaaa kiutaalam! Na si baadhi ya watu wanakuja na ngonjera za Omukanjuguti international airport wakati huu wa Bukoba haujaweza kuwa na direct daily flights mwaka wa tisa tangu uanze kutumika!
 
wacha mawazo mgando kwa hiyo ile terminal ambayo halmashauri imekula hela na kuishindwa kukamilika mpaka sasa haitaruhusu ndege za kutoka nje kutua? Tatizo ni ubinafsi! Huo uwanja wa Mwanza na Bukoba ni kati ya viwanja bora zaidi Tanzania! Kigoma hawana uwanja wanahitaji uwanja pia! Uwanja wa Bukoba unahitaji navigation aids kufanya ndege itue kwa usalama kipindi hali ya hewa ni mbaya! Ila kuwa karibu na ziwa si issue kabsaaa kiutaalam! Na si baadhi ya watu wanakuja na ngonjera za Omukanjuguti international airport wakati huu wa Bukoba haujaweza kuwa na direct daily flights mwaka wa tisa tangu uanze kutumika!
Siwezi kuendelea kubishana na mtu kama wewe...na sampuli kama hii ndo imejaa kwenye serikali....hawana mipango endelevu...

Hiv uwanja wa Bukoba ni bora kiaje? Kwa kuwa una lami au kiterminal uchwara kilichopo hapo..

Uwanja hauna control tower, hauna Taa, ni mfupi sana..umezungukwa na makazi ya watu na barabara busy muda wote...umezungukwa na milima...halafu unasema ni bora?

Kwamba wakijenga uwanja mwingine mpana na mzr zaidi utakuwa ubinafsi?...

Kwa hiyo unakubaliana na hali ya sasa..watu wakitaka kwenda nje wapitie tu kia na JNIA....kwa sababu wakijenga Bukoba na sijui mwanza itakuwa ubinafsi?...


Wew jamaa utakuwa mtu wa kaskazini huko...hampendi eneo lolote lipate maendeleo zaidi ya maeneo yenu tu...ndo mlivyo yani na tunaishi nanyi hivyo hivyo
 
Siwezi kuendelea kubishana na mtu kama wewe...na sampuli kama hii ndo imejaa kwenye serikali....hawana mipango endelevu...

Hiv uwanja wa Bukoba ni bora kiaje? Kwa kuwa una lami au kiterminal uchwara kilichopo hapo..

Uwanja hauna control tower, hauna Taa, ni mfupi sana..umezungukwa na makazi ya watu na barabara busy muda wote...umezungukwa na milima...halafu unasema ni bora?

Kwamba wakijenga uwanja mwingine mpana na mzr zaidi utakuwa ubinafsi?...

Kwa hiyo unakubaliana na hali ya sasa..watu wakitaka kwenda nje wapitie tu kia na JNIA....kwa sababu wakijenga Bukoba na sijui mwanza itakuwa ubinafsi?...


Wew jamaa utakuwa mtu wa kaskazini huko...hampendi eneo lolote lipate maendeleo zaidi ya maeneo yenu tu...ndo mlivyo yani na tunaishi nanyi hivyo hivyo
Kigoma wanautaka hamishia Kigoma, Tabora na Mara! mwaka wa tisa hamna direct daily flights halafu mnataka Omukanjuguti! Na Arusha nao wenye daily direct flights PW na Air Tanzania watake nini? Wacheni ujinga!

 
Kigoma wanautaka hamishia Kigoma, Tabora na Mara! mwaka wa tisa hamna direct daily flights halafu mnataka Omukanjuguti! Na Arusha nao wenye daily direct flights PW na Air Tanzania watake nini? Wacheni ujinga!

Hicho ulocholeta ni muendelezo wa tafti uchwara za viongozi wetu...hawataki ushauri wa wataalamu...wao ni siasa...


Mainginia, marubani wote wanakubali kuwa kiwanja ni hatarishi..na wakigoma wanagukizwa urubani...ndo hayo mpaka ajali zinatokea kwa sababu ya kuingiza siasa kwenye kila kitu....


Uwanja wa Bukoba ni hatarishi...watafute sehemu nyingine wajenge uwaja mpya na unaokidhi viwango vya kimataifa
Screenshot_20221117-214521.jpg
 
Back
Top Bottom