Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,888
- 103,753
Ume-quote mwanasheria badala ya rubani na mhandisi!Hicho ulocholeta ni muendelezo wa tafti uchwara za viongozi wetu...hawataki ushauri wa wataalamu...wao ni siasa...
Mainginia, marubani wote wanakubali kuwa kiwanja ni hatarishi..na wakigoma wanagukizwa urubani...ndo hayo mpaka ajali zinatokea kwa sababu ya kuingiza siasa kwenye kila kitu....
Uwanja wa Bukoba ni hatarishi...watafute sehemu nyingine wajenge uwaja mpya na unaokidhi viwango vya kimataifaView attachment 2419927


wewe mbwa, umechanganyikiwa asubuhi., 