ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Is that 22 😀😀 au kuhesabu hujui pia22 floors...kizingo apartment.uliexpect uletewe shehena marina???shehena iko 24
![]()
Is that 22 😀😀 au kuhesabu hujui pia22 floors...kizingo apartment.uliexpect uletewe shehena marina???shehena iko 24
![]()
another one rising in Nairobi...am waiting for ichoboy to clap and say 'thank you for renders'....Cytton Towers...3 buildings all of them 150 metres tall...refer to this thread Cytonn investments launches Kenya's tallest triplet Towers![]()
Wow thanks bro for renders yani raha sana kuona renders
😀😀😀
Hajielew huyo😀😀wewe sio kwanza kuonyesha chuki ya kuichukia thread hii...wamekuja wenzio kama wewe zaidi ya 10 na malalamiko hayo hayo.
baada ya kupitia comment yako,ikabidi niende nikatembelee profile yako ili nijue aina ya thread ulizowahi kuzianzisha.
hii ndio aina ya thread zako.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
ma- comrade wenzangu,mtu kama huyu ambaye thread zake tu zinaonyesha ni mwenye upeo wa aina gani,anapata wapi audacity ya kutaka thread hii ifutwe?.smh.
![]()
![]()
![]()
![]()
Yani napenda unaponionesha kitu ambacho ni ndoto bro
sawa mkuu...wewe huwa hu disappoint...![]()
![]()
![]()
Naona unajieleza kwa uchungu wote masikini siasa mchezo mchafu😀😀😀😀Tanzania bado sana Hakuna mji city imeoza
Huyo kwa nilivomsoma tu anachuki za kisiasa na siku zote siasa ni mchezo mchafu 😀😀😀😀😀Ukweli usemwe cc ichoboy kadoda
Hilo neno photoshop unalijua au ?????Hizo picha ni kama photoshop tu.. Ukifika in reality sehemu ni mbaya huwezi amini
Hilo neno photoshop unalijua au ?????
We itakua mpiga dili na dili zimebanwa hapa kazi tu
Asante kwa hasira😀😀😀😀😀😀
Bam!! lol...aliyekushikia bunduki kichwani akakulazimisha umwoe mkenya ni nani? 😀😀😀
Kenya's Lupita Nyong'o was named most beautiful in the world.Mtosheke msitosheke swala lisilo na ubishi ni: Wanawake wenu ni kama Wanaume na mnaoita warembo ni hovyo. Ni ji demu tu lilolo nene nene kama Vera sidika but shepu ya hovyo. Miguu fitoo, sura hovyo na rangi ni MPINGO.
Ni hali mbaya ya masha Kenya, mtu anakua kwa kula Ugali, sukuma na Kimbo rangi adimu atatoa wapi? mbili, mnaoana kwa makabila, rangi na uzuri mtatoa wapi?
Lisa Jensen - Tanzania
mubashara bila chenga.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
anagalia totoz hapa Lisa Jensen: Lisa Jensen is a Sexy Mama in new Photoshoot | M.P Blog
Miss world top 5 wowThere is this Tanzanian called sijui lulu diva with very ugly thighs. ..at one time she appeared in citizen tv's 10/10 show .zile kupondwa alipata....lol.
Tanzanians brag of beauty but Kenyan ladies have beauty and brains. ....that's why they can't miss in top 5 or top 10 of miss world. Wa Tanzania hupumulia huko number 180....juu mrembo anaulizwa how to solve a certain issue unabaki ukishangaa kama alimaliza shule......lanes......
brains za ukabila na chuki labda😀😀😀😀😀😀😀😀There is this Tanzanian called sijui lulu diva with very ugly thighs. ..at one time she appeared in citizen tv's 10/10 show .zile kupondwa alipata....lol.
Tanzanians brag of beauty but Kenyan ladies have beauty and brains. ....that's why they can't miss in top 5 or top 10 of miss world. Wa Tanzania hupumulia huko number 180....juu mrembo anaulizwa how to solve a certain issue unabaki ukishangaa kama alimaliza shule......lanes......
Jikadirie mwenyewe IQ yako, small minded useless idiot. Fyi, huu Uzi upo na over 4k repliesWatanzania tunapenda kubishana tu wakati hewa/chenga tupu
Mimi mbongo ila Tanzania hakuna kitu. Kuanzia kwenye siasa, uchumi, michezo ama kitu chochote.
Sisi porojo na pang'ang'a ndio jadi yetu ila action hakuna. Na ndio maana mnachagua viongozi kila siku maboya boya tu ambao akili hawana na maendeleo hawawaletei.
Yani sisi tulijilinganishe na Kenya hata kidogo ni sawa na kulinganisha kifo na usingizi.
Sehemu kidogo angalau inaweza kufananishwa na Kenya ni Arusha tu labda na Kilimanjaro. Ila sijui Dar??? Maisha ya kobe sahau kitu kama iko.
Huwa natamani sana watu wa Arusha tujitenge na rest of TZ. Au tuwe sehemu ya Kenya.
Bongo bahati mbaya
Futeni huu uzi huwa unanitia ukakasi nikiuona
Braza nimezurula sana Nairobi, nimejaribu kutembea sana japo nione sura angavu na sikubahatika, mabinti wa Kenya hufanana sana na babu zao, mkuu sijui mnaishije hapo, karibuni bongo muoe Dada zetu huku walau mchanganye damu.There is this Tanzanian called sijui lulu diva with very ugly thighs. ..at one time she appeared in citizen tv's 10/10 show .zile kupondwa alipata....lol.
Tanzanians brag of beauty but Kenyan ladies have beauty and brains. ....that's why they can't miss in top 5 or top 10 of miss world. Wa Tanzania hupumulia huko number 180....juu mrembo anaulizwa how to solve a certain issue unabaki ukishangaa kama alimaliza shule......lanes......
Lol. .....I expected the bileBraza nimezurula sana Nairobi, nimejaribu kutembea sana japo nione sura angavu na sikubahatika, mabinti wa Kenya hufanana sana na babu zao, mkuu sijui mnaishije hapo, karibuni bongo muoe Dada zetu huku walau mchanganye damu.
-brains za ukabila na chuki labda😀😀😀😀😀😀😀😀
na urembo sio sura pekeake hata tabia pia