Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ec176c06fac4f036db3ed69fdc699341.jpg
Hizo picha ni kama photoshop tu.. Ukifika in reality sehemu ni mbaya huwezi amini
 
aliyekushikia bunduki kichwani na akakulazimisha umwoe mkenya ni nani? 😀😀😀

Mtosheke msitosheke swala lisilo na ubishi ni: Wanawake wenu ni kama Wanaume na mnaoita warembo ni hovyo. Ni ji demu tu lilolo nene nene kama Vera sidika but shepu ya hovyo. Miguu fitoo, sura hovyo na rangi ni MPINGO.

Ni hali mbaya ya masha Kenya, mtu anakua kwa kula Ugali, sukuma na Kimbo rangi adimu atatoa wapi? mbili, mnaoana kwa makabila, rangi na uzuri mtatoa wapi?

Lisa Jensen - Tanzania
mubashara bila chenga.


FB_IMG_1448464915252.jpg


FB_IMG_1448464925273.jpg


FB_IMG_1448464922452.jpg


FB_IMG_1448464927849.jpg


FB_IMG_1448464919910.jpg

anagalia totoz hapa Lisa Jensen: Lisa Jensen is a Sexy Mama in new Photoshoot | M.P Blog
 
Watanzania tunapenda kubishana tu wakati hewa/chenga tupu

Mimi mbongo ila Tanzania hakuna kitu. Kuanzia kwenye siasa, uchumi, michezo ama kitu chochote.

Sisi porojo na pang'ang'a ndio jadi yetu ila action hakuna. Na ndio maana mnachagua viongozi kila siku maboya boya tu ambao akili hawana na maendeleo hawawaletei.

Yani sisi tulijilinganishe na Kenya hata kidogo ni sawa na kulinganisha kifo na usingizi.

Sehemu kidogo angalau inaweza kufananishwa na Kenya ni Arusha tu labda na Kilimanjaro. Ila sijui Dar??? Maisha ya kobe sahau kitu kama iko.

Huwa natamani sana watu wa Arusha tujitenge na rest of TZ. Au tuwe sehemu ya Kenya.

Bongo bahati mbaya

Futeni huu uzi huwa unanitia ukakasi nikiuona
heri wewe umesema ukweli wako...watanzania wengi hapa wana la kujifunza
 
Mtosheke msitosheke swala lisilo na ubishi ni: Wanawake wenu ni kama Wanaume na mnaoita warembo ni hovyo. Ni ji demu tu lilolo nene nene kama Vera sidika but shepu ya hovyo. Miguu fitoo, sura hovyo na rangi ni MPINGO.

Ni hali mbaya ya masha Kenya, mtu anakua kwa kula Ugali, sukuma na Kimbo rangi adimu atatoa wapi? mbili, mnaoana kwa makabila, rangi na uzuri mtatoa wapi?

Lisa Jensen - Tanzania
mubashara bila chenga.


FB_IMG_1448464915252.jpg


FB_IMG_1448464925273.jpg


FB_IMG_1448464922452.jpg


FB_IMG_1448464927849.jpg


FB_IMG_1448464919910.jpg

anagalia totoz hapa Lisa Jensen: Lisa Jensen is a Sexy Mama in new Photoshoot | M.P Blog
haya kamwoe sasa...tumetosheka na wetu sisi walio na sura ngumu...😀😀😀 tukitamani wa nje tutakimbilia Ethiopia...
 
Watanzania tunapenda kubishana tu wakati hewa/chenga tupu

Mimi mbongo ila Tanzania hakuna kitu. Kuanzia kwenye siasa, uchumi, michezo ama kitu chochote.

Sisi porojo na pang'ang'a ndio jadi yetu ila action hakuna. Na ndio maana mnachagua viongozi kila siku maboya boya tu ambao akili hawana na maendeleo hawawaletei.

Yani sisi tulijilinganishe na Kenya hata kidogo ni sawa na kulinganisha kifo na usingizi.

Sehemu kidogo angalau inaweza kufananishwa na Kenya ni Arusha tu labda na Kilimanjaro. Ila sijui Dar??? Maisha ya kobe sahau kitu kama iko.

Huwa natamani sana watu wa Arusha tujitenge na rest of TZ. Au tuwe sehemu ya Kenya.

Bongo bahati mbaya

Futeni huu uzi huwa unanitia ukakasi nikiuona

Hamia Kenya tu
 
  • Thanks
Reactions: nao
Watanzania tunapenda kubishana tu wakati hewa/chenga tupu

Mimi mbongo ila Tanzania hakuna kitu. Kuanzia kwenye siasa, uchumi, michezo ama kitu chochote.

Sisi porojo na pang'ang'a ndio jadi yetu ila action hakuna. Na ndio maana mnachagua viongozi kila siku maboya boya tu ambao akili hawana na maendeleo hawawaletei.

Yani sisi tulijilinganishe na Kenya hata kidogo ni sawa na kulinganisha kifo na usingizi.

Sehemu kidogo angalau inaweza kufananishwa na Kenya ni Arusha tu labda na Kilimanjaro. Ila sijui Dar??? Maisha ya kobe sahau kitu kama iko.

Huwa natamani sana watu wa Arusha tujitenge na rest of TZ. Au tuwe sehemu ya Kenya.

Bongo bahati mbaya

Futeni huu uzi huwa unanitia ukakasi nikiuona


Wewe akili yako haina akili.
 
Hizo picha ni kama photoshop tu.. Ukifika in reality sehemu ni mbaya huwezi amini

Muogope Mungu!
Kama Bongo ni pabaya how come watoto Mubashara bila chenga wanaishi huko? Ungekua unawaona kila siku Kibera or Mathare.

Nelly
Nelly-Kamwelu-1.jpg


NELLY+KAMWELU.jpg


Tanzania%2B-%2BNelly%2BKamwelu-3.jpg


Tanzania%2B-%2BNelly%2BKamwelu-4.jpg


Huwa hatutaki Longo longo na Picha za kuokoteza. Tunatoa picha na reference: Nelly Kamwelu brings sexy back! | M.P Blog


Moja ya raha unapata Unapokua Dar es salaam na Tanzania kwa ujumla ni kuosha kwa macho or kuonana na Tausi wakareeee! Adimu Kenya.
 
Watanzania sisi porojo na pang'ang'a ndio jadi yetu ila action hakuna.

Futeni huu uzi huwa unanitia ukakasi nikiuona
wewe sio kwanza kuonyesha chuki ya kuichukia thread hii...wamekuja wenzio kama wewe zaidi ya 10 na malalamiko hayo hayo.

baada ya kupitia comment yako,ikabidi niende nikatembelee profile yako ili nijue aina ya thread ulizowahi kuzianzisha.

hii ndio aina ya thread zako.

1950124a1b40d6928bc3a79eae814e76.jpg
03fd4c48cc743d34eb06a132c2198510.jpg
472899dcb85b66af70a3b28b3a844076.jpg

ma- comrade wenzangu,mtu kama huyu ambaye thread zake tu zinaonyesha ni mwenye upeo wa aina gani,anapata wapi audacity ya kutaka thread hii ifutwe?.smh.
 
wanapigana wenyewe kwa wenyewe....ishakua cinema sasa...i also need some popcorn
 
Watanzania tunapenda kubishana tu wakati hewa/chenga tupu

Mimi mbongo ila Tanzania hakuna kitu. Kuanzia kwenye siasa, uchumi, michezo ama kitu chochote.

Sisi porojo na pang'ang'a ndio jadi yetu ila action hakuna. Na ndio maana mnachagua viongozi kila siku maboya boya tu ambao akili hawana na maendeleo hawawaletei.

Yani sisi tulijilinganishe na Kenya hata kidogo ni sawa na kulinganisha kifo na usingizi.

Sehemu kidogo angalau inaweza kufananishwa na Kenya ni Arusha tu labda na Kilimanjaro. Ila sijui Dar??? Maisha ya kobe sahau kitu kama iko.

Huwa natamani sana watu wa Arusha tujitenge na rest of TZ. Au tuwe sehemu ya Kenya.

Bongo bahati mbaya

Futeni huu uzi huwa unanitia ukakasi nikiuona
Chaliifrancisco hii thread kama imekuboa sana meza wembe
wewe sio kwanza kuonyesha chuki ya kuichukia thread hii...wamekuja wenzio kama wewe zaidi ya 10 na malalamiko hayo hayo.

baada ya kupitia comment yako,ikabidi niende nikatembelee profile yako ili nijue aina ya thread ulizowahi kuzianzisha.

hii ndio aina ya thread zako.

1950124a1b40d6928bc3a79eae814e76.jpg
03fd4c48cc743d34eb06a132c2198510.jpg
472899dcb85b66af70a3b28b3a844076.jpg

ma- comrade wenzangu,mtu kama huyu ambaye thread zake tu zinaonyesha ni mwenye upeo wa aina gani,anapata wapi audacity ya kutaka thread hii ifutwe?.smh.
 
Watanzania tunapenda kubishana tu wakati hewa/chenga tupu

Mimi mbongo ila Tanzania hakuna kitu. Kuanzia kwenye siasa, uchumi, michezo ama kitu chochote.

Sisi porojo na pang'ang'a ndio jadi yetu ila action hakuna. Na ndio maana mnachagua viongozi kila siku maboya boya tu ambao akili hawana na maendeleo hawawaletei.

Yani sisi tulijilinganishe na Kenya hata kidogo ni sawa na kulinganisha kifo na usingizi.

Sehemu kidogo angalau inaweza kufananishwa na Kenya ni Arusha tu labda na Kilimanjaro. Ila sijui Dar??? Maisha ya kobe sahau kitu kama iko.

Huwa natamani sana watu wa Arusha tujitenge na rest of TZ. Au tuwe sehemu ya Kenya.

Bongo bahati mbaya

Futeni huu uzi huwa unanitia ukakasi nikiuona
Ukweli usemwe cc ichoboy kadoda
 
Back
Top Bottom