Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
sijui 2nd city ya tz ndio maana nikauliza...Fungua thread bro
sijui 2nd city ya tz ndio maana nikauliza...Fungua thread bro
Utaijua hapo ukishafungua alaf ndugu nikushauru hakuna sehemu yoyote east africa inaeza kimbizana na zanzibar kwa beach hotel hakuna na haitatokeasijui 2nd city ya tz ndio maana nikauliza...
natambua seychelles na mauritius...hizo pia zipo EA...Utaijua hapo ukishafungua alaf ndugu nikushauru hakuna sehemu yoyote east africa inaeza kimbizana na zanzibar kwa beach hotel hakuna na haitatokea
East africa ni kenya uganda tanzania rwanda burundinatambua seychelles na mauritius...hizo pia zipo EA...
sawa basi...zanzibar has best beaches...sikatai...ila thubutu tu kusema kenya's scond city vs tanzania's second city uone ukinyoroshwa JF upotee kabisa...yaani pengine mje kwa 4th city...lakini 1st 2nd 3rd zote ni za hapa Kenya...East africa ni kenya uganda tanzania rwanda burundi
Sio have best beaches hakuna sehemu kenya inaeza kaa sahani moja na zanzibar kwa beach hotels na haitatokea neversawa basi...zanzibar has best beaches...sikatai...ila thubutu tu kusema kenya's scond city vs tanzania's second city uone ukinyoroshwa JF upotee kabisa...yaani pengine mje kwa 4th city...lakini 1st 2nd 3rd zote ni za hapa Kenya...
una kasoro wewe...Mombasa kunajengwa hoteli kwa kasi tena sana...its just a matter of time...Sio have best beaches hakuna sehemu kenya inaeza kaa sahani moja na zanzibar kwa beach hotels na haitatokea never
Hahahha bro zanzibar ni habari nyingine yani usijaribu kabisa hutaaminiuna kasoro wewe...Mombasa kunajengwa hoteli kwa kasi tena sana...its just a matter of time...
ni mwanza bro... ata usijusumbue kuifungulia thread na msa.ichoboy alijaribu nkamvuruga akatoweka mpaka leo.mwanza tallest building ni sixteen floors imaginesijui 2nd city ya tz ndio maana nikauliza...
enyewe...nimeona hata ameanza kulenga story za head to head...anajua Mombasa itawanyoroshani mwanza bro... ata usijusumbue kuifungulia thread na msa.ichoboy alijaribu nkamvuruga akatoweka mpaka leo.mwanza tallest building ni sixteen floors imagine
Upanga vsKaren vs oysterbay. ....
Masaki vs.......wadau leteni nondo
17 fl so wewe unataka kuniambia tallest building kwa sasa msa ni ngapi usinitajie ambayo iko under cosntruction kwasababu mwanza 17 fl iko completeni mwanza bro... ata usijusumbue kuifungulia thread na msa.ichoboy alijaribu nkamvuruga akatoweka mpaka leo.mwanza tallest building ni sixteen floors imagine
Mombasa haijikuni kwa zanzibar kwenye beach hotel hata kwa dawa za mganga😀😀😀😀enyewe...nimeona hata ameanza kulenga story za head to head...anajua Mombasa itawanyorosha