Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,918
- 103,788
Unajifurahisha. Just look at the photos you've been posting and boasting about and compare.Different types r coming n none is below what u have!
Mpango wa TBA kuboresha Magomeni kota.. gorofa zinajengwa Migomigo, and mind you hii ni miradi tofauti na ile ya NHC.. CCM bhana wanajua hawa jamaa💥💥 .
Tanzania biashara za stock exchange,mall na supermarket hazifanyi vizuri kutokana na watu kutokuwa na Elimu na pia utamaduni..
NakubaliHapa location ya photographer ni pale victoria Spanish Tilesoverlooking kinondoni na Mwananyamala.



Hizi train zote zitabebea abiria kutoka Moro hadi dar kipande cha 170km? 😂😂Hizo ni behewa za kawaida za trains za kawaida tena daraja la tatu. Bado EMU zinatengenezwa na siku mkiziona mtakimbia hamtaonekana humu. Train na behewa zetu zinatengenezwa katika nchi tatu tofauti, Germany, China na South Korea. Tunataka kuwa-supraise na vitu vizito. tumewaonyesha tu hzo normal behewa za daraja la
Nchi lenu limewashinda ni madeni, njaa, crime, corruption na ukabila kila siku
This is the truth they don't want to hear. Alafu kitu nimegundua hawa watanzania wote hawajui anything about their economy. They are just here making noise yet most business are either owned by Indians or Kenyans.70% kenyan 30% government
Wakenya wanamiliki Tanzania.Anapiga kelele hapa wakati kwao mchina anamiliki reli, barabara na CBD