SafiNairobi inapigwa na Dodoma kwenye housing na planning
Nairobi inapigwa na Dodoma kwenye housing na planning
Yaani unashangazwa na kitu kidogo kama Dodoma, organization gani hiko hapo eti? just scattered residential houses, town tunaijua..., tazama Kiambu kisha linganisha, uwe unachunguza na kulinganisha kabla ya kukurupuka..,Aisee panapendeza mno [emoji8][emoji3059][emoji3059][emoji8][emoji1241][emoji91][emoji91]
Wakenya wotee na Watz mliodhani tunatania kuhusu Dodoma naomba kwa heshima na taadhima muangalie hii video alafu mniambie ni mji gn hapa EA unaweza kuwa organized kama Dodoma. Naomba muangalie na ukubwa alafu na jinsi ulivyopangika.
Cc wanuka mavi wotee
Don YF naomba angalia alafu bila maumivu au kulia lia naomba utoe coment hata kama umeumia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani unashangazwa na kitu kidogo kama Dodoma, organization gani hiko hapo eti? just scattered residential houses, town tunaijua..., tazama Kiambu kisha linganisha, uwe unachunguza na kulinganisha kabla ya kukurupuka..,
Ata haiwezani na Kajiado county..., yaani nyie bado sana.., ikija organization tuliwatangulia., just watch pole pole..,
ama just Ruaka.., kasehemu kule Kiambu..,
Eldoret ata usiseme...,
Nakuru je?
See the organization.., The best 007 weka ushabiki na utani kando, just watch.., hapa maybe miaka hamsini mbele kisha mje tujadiliane, standard housing kwa ukubwa na upana..,
Nakuru, watch drone view from 9:40..., kisha watch hiyo ya Dodoma ndio uonge..,
Ushabiki na kulazamisha weka pembeni.., mlileta clip ya Dodoma, aerial view from a plane, mmeona hamna kitu ukilinganisha, Tanzania subiri wakati wenu utafika tu, wala msife moyo, kiherehere ndiyo muache.., 😂 😂 😂 😂 😂Geita tu inazizima zote kama mshumaa
View attachment 2384891View attachment 2384892View attachment 2384893View attachment 2384894
Unataka nikuletee na Singida? 😅😅😅Ushabiki na kulazamisha weka pembeni.., mlileta clip ya Dodoma, aerial view from a plane, mmeona hamna kitu ukilinganisha, Tanzania subiri wakati wenu utafika tu, wala msife moyo, kiherehere ndiyo muache.., 😂 😂 😂 😂 😂
But Kenyans are richer than Danganyikans with their ugliness. I would rather be ugly and rich than poor and handsomeListen dear friend,
Majority Tanzanians you interact with on here are very good looking. I will leave it at that.
Na katakuwa kameumia kweli kweli mana havipendi kuona tumeendelea [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huyo kichaa atakujazia taarab tu
Hapo kdg Ruto ana kamuonekano angalau, hawa wengine ni kama binadamu wa zama za mawe.Listen dear friend,
Majority Tanzanians you interact with on here are very good looking. I will leave it at that.
Reality
Hapo umeshashiba government subsidized ugali 😅😅😅But Kenyans are richer than Danganyikans with their ugliness. I would rather be ugly and rich than poor and handsome
We unaumwa wewe, yn kasehemu kadogo kamejengeka but eneo kubwa ni pori ndio ufananishe na lile eneo kubwa vile pale Dodoma? Hata kama ni wivu basi huu wako ni wakike, aya naweka picha ya nilichokiona afu tulinganishe.Yaani unashangazwa na kitu kidogo kama Dodoma, organization gani hiko hapo eti? just scattered residential houses, town tunaijua..., tazama Kiambu kisha linganisha, uwe unachunguza na kulinganisha kabla ya kukurupuka..,
Ata haiwezani na Kajiado county..., yaani nyie bado sana.., ikija organization tuliwatangulia., just watch pole pole..,
ama just Ruaka.., kasehemu kule Kiambu..,
Eldoret ata usiseme...,
Linganisha na hii, mana nahisi kwa wivu ulionao hata video hujaangalia, mm nakuwekea picha sasa uumie vzr [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787]Yaani unashangazwa na kitu kidogo kama Dodoma, organization gani hiko hapo eti? just scattered residential houses, town tunaijua..., tazama Kiambu kisha linganisha, uwe unachunguza na kulinganisha kabla ya kukurupuka..,
Ata haiwezani na Kajiado county..., yaani nyie bado sana.., ikija organization tuliwatangulia., just watch pole pole..,
ama just Ruaka.., kasehemu kule Kiambu..,
Eldoret ata usiseme...,
Uliona wapi Richer akiajiliwa na Poorer? Tz ndiyo the biggest source of remittance kwa Kenya mbwa wewe.But Kenyans are richer than Danganyikans with their ugliness. I would rather be ugly and rich than poor and handsome
Ndio zao, vinyumba viwili vinapigwa angles zote vionekane million 😅😅😅We unaumwa wewe, yn kasehemu kadogo kamejengeka but eneo kubwa ni pori ndio ufananishe na lile eneo kubwa vile pale Dodoma? Hata kama ni wivu basi huu wako ni wakike, aya naweka picha ya nilichokiona afu tulinganishe.View attachment 2384995View attachment 2384996View attachment 2384997View attachment 2384998View attachment 2384999View attachment 2385000View attachment 2385001View attachment 2385002View attachment 2385003View attachment 2385004
Ebu taja huyo Mkenya.View attachment 2384205
Short, hadithi hahahahaha mkenya mmoja aliona hii picha akasema ilo daraja nasikia lipo CANADA nkamwambia apo ni mto wami TZ ndio linajengwa aseeee wakenya ni mizigo tyu EAC