chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,685
- 45,921
Nimeona kumbe tabia mbaya ya uchafu ipo kwenye damu na haina financial status wala position, imagine hii ni meza aliyokaa makamu wa Rais wa nchi 🤮🤮🤮🤮🤧Mm hii ardhi yao ya dongo jekundu inanikera sana, huwa inaleta vibe la kijijini hivi.