Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

shuleni nilikuwa gwiji wa uandishi wa insha...tuseme nimelegea kidogo ila kwa uandishi wa kiswahili mie ni sugu...kiukweli
Kiswahili sio mchezo kabisa...ukikuta wale wataalamu wakichambua ndio utatambua mambo yalivyo ...
 
hivi niulize matatu zilizopigwa rangi na kuwekwa nyimbo zinakubaliwa tanzania kisheria kweli? naweza nikawa mwekezaji...
 
hivi niulize matatu zilizopigwa rangi na kuwekwa nyimbo zinakubaliwa tanzania kisheria kweli? naweza nikawa mwekezaji...
Jaribu tu,Ila me bongo uko badae daladala zitakua ziaishia vichochoroni maana barabara kuu zote ni mwendokasi
 
Made in Nairobi for Tanzanians.

1d054aca2f70fdd3d4680313e68b7725.jpg
Most of these old Fiat and fuso's are being transformed into City Matatu's

We used these kind of ChaiMaharage in Dar back to early 90's and phased them out early 2000 through the introduction of DCM's which is already phased out.

We have a wonderful positive Transport translation in Tanzania.

Our fellow Northerners are still riding on the rejected trucks as Matatuz
 
nai is my second home...i have lived there for like 6 years...since then,I have been visiting nai after every 6 month.
Wabongolala wote wamewai kufika Nairobi kupitia mitandao ya kijamii haswa hapa JF. kila mbongolala atakuambia kuwa ameshawai kuwa na demu mKenya
 
Tutaanza kuwauliza area code za mat ama specific streets uone wakigugumia hapa..................wasee wamefika Nai apart from kadoda wainue mkono niwapatie RAT
 
Wabongolala wote wamewai kufika Nairobi kupitia mitandao ya kijamii haswa hapa JF. kila mbongolala atakuambia kuwa ameshawai kuwa na demu mKenya
sasa kwani kipi cha ajabu cha kufanya tusije hapo Nairobi?...kama unadhani kujifungia nairobi ni deal endelea kufanya hivyo.
 
Nairobi ilikufundisha ujanja sasa unatumia huo ujuzi kutupiga vita....Hahaha. I like that.....Leo hukuenda bata batani
hapana....leo niko na flue.,so nimeona bora ni chili tu kwa keja.

BTW,hornbill buruu bado iko?.
 
Back
Top Bottom