Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
yaani kwa Kiingereza au kwa Kiswahili (kuandika) hamtufikii nyie washamba wa Bongo Town ila kwa kuzungumza kiswahili jamaa mko poa sana..
msee acha porojo.yaani kwa Kiingereza au kwa Kiswahili (kuandika) hamtufikii nyie washamba wa Bongo Town ila kwa kuzungumza kiswahili jamaa mko poa sana..
Hahaha say whatati orthopedics surgeons? duh! umeskia hio leo asubui sio?

kwa kiswahili nawaheshimu sana ila kwa kingoso utaskia mbongo akijiabisha tu...hata mngechanganya tu sababu kiingereza skuiizi ni muhimu sana hasaa kwa biasharamsee acha porojo.
Kwahiyo ni sahihi kusema nyie mnajiaibisha kiswahili ,hamkifahamu mnanyapianyapia tu...kwa kiswahili nawaheshimu sana ila kwa kingoso utaskia mbongo akijiabisha tu...
Haha ila Jay kiswahili chako pia kibovu tu sioni sababu ya kuwapiga pini sana hao
kingereza chako kimekusaidia nini?....mbona mpaka leo unalala katika ka-bedsitter hapo githurai?kwa kiswahili nawaheshimu sana ila kwa kingoso utaskia mbongo akijiabisha tu...

Hahaha ndio kusema jamaa kafulia siokingereza chako kimekusaidia nini?....mbona mpaka leo unalala katika bedsitter hapo githurai?![]()
![]()

vijana wa nairobi huwa nawajulia sana....hawana la kunitisha.Hahaha ndio kusema jamaa kafulia sio![]()
Nimeulizwa how I knew orthopaedic surgeon hahaha seems like we needs to put our full details here...vijana wa nairobi huwa nawajulia sana....hawana la kunitisha.
kiingreza ndio msingi wa masomo yangu na kazi yangu...yaani bila ufaham mzuri wa kiingereza ningekuwa sasa hivi jobless...na sio jokeskingereza chako kimekusaidia nini?....mbona mpaka leo unalala katika ka-bedsitter hapo githurai?![]()
![]()
shuleni nilikuwa gwiji wa uandishi wa insha...tuseme nimelegea kidogo ila kwa uandishi wa kiswahili mie ni sugu...kiukweliHaha ila Jay kiswahili chako pia kibovu tu sioni sababu ya kuwapiga pini sana hao
safi...huyu atakua ni mkenyaMade in Nairobi for Tanzanians.
![]()
tueleze ila usifanye control C control V ...Nimeulizwa how I knew orthopaedic surgeon hahaha seems like we needs to put our full details here...
utakua umeishi Nairobi wewe...unajua mengi kupita kiasi...Hessy ulimjulia wapi...ama ulikua mkora pia...vijana wa nairobi huwa nawajulia sana....hawana la kunitisha.