Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You must be ignorant ama unajitoa ufahamu, eti capacity wise, hiyo propaganda ya CCM usiniletee hapa na vitu vinaonekana wazi, zoea kukubali ukweli ata kama inauma itabakia pale pale, JNIA is way below JKIA and soon what is coming up in Rwanda by Qatar Airways will be above JNIA.., mtanyooka tu.,
Sijakuelewa unavyosema ni propaganda ya CCM ...how wakati capacity inakuwa measured kwa sq meters za jengo..kwahyo kila capacity ni propaganda ya kitu...Terminal 3 ina capacity ya 6million pax , Terminal 2 1.5million passngers , Terminal 1 500k ..Total capacity 8 million..

usifananishe capacity na number of passngers served

Kwahyo kila kitu tutachowapita ni propaganda hatuwezi kuwa na terminal kubwa kuliko nyie sio...you have all things bigger acha upuuzi leta facts
 
Mnaweka filter sana kwenye video zenu na picha zenu...

Nairobi ni kuchafu na kubaya sana in reality..na nyie mnajua hilo...

Check moi avenue ya hapo cbd yenu kulivyo kuchafuView attachment 2370406View attachment 2370407
Swali nikuulize, filter inaweza kuficha uchafi eti?.., hii 👇 picha ya Dar ime wekwa filter, mbona naona uchafu? wacha nikupe darasa, filter haibadilishi ukweli halisia, wacha vijisababu uchwara..,
1664351874020.png
 
Hayo matent ya nn???
Hata sijui ni ya nini...wakenya ni wachafu mno...

Imagine hapo ni CBD....ukiteremka kidogo hapo downtown nairobi utakuta uchafu na matakataka kila kona kule eastleigh ndo kabisa..epicentre ya uchafu Africa nzima...
 
Terminals ziko 4
Terminal 3 Ni international ina capacity kubwa kuliko zote at 6m

Terminal 2 ni Domestic 1.5million

Terminal 1 .Ni Domestic but only chartered and mostly small planes kama cessnas , pilatus 500k capacity

VIP Terminal .hyo for presidents etc
Sawa, weka picha tuzione..,
 
Back
Top Bottom