Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Why should I start yet the idea was not mine? Baadala ya kuipiga kelele hapa ungeshapost ya kwanza 😂😂
Okay let me help you.. the only three buildings with over ten storeys in Kisumu so far 👇
kisumu(0).jpg
vs ARUSHA 👇
NSSF-Mafao-House-Arusha1.jpg
arusha-skycrapers-tanzania-people-walking-vertical-picture-taken-may-43564089.jpg
131052203.jpg
Project-07.jpg
.. next .?
 
Bro! Hivi vitu vya tozo is not a joke! Acha mambo ya hovyo! Lazima kuwe kuna deep dialogue kuhusu hili Jambo. Watu wanaumia sana. Mimi nikiwa mmoja wapo.

Nikiweka laki ya mauzi yangu ya siku mpesa, nikituma benki nakatwa 4999, kesho nikitaka kuitoa niongeze stock dukani nakwatwa almost 10,000.

Yani 100,000 nikiingiza kwenye mfumo wa kibenki inakuwa sio laki tena ni 85,000.

Mimi nauza ice lollies Azam. Moja ni 500.
Ukigawanya Kwa hiyo 15,000÷500=30.

30 ndio idadi ya ukwaju kwenye box.

Hiyo ni kila siku bro!

Sasa hapo jumlisha na kodi ya frem, jumlisha na umeme, jumlisha na kodi za TRA.

Babu please!..........kaka wewe hazikuumizi stop mocking others!

It's not funny anymore! This is a very serious matter!
Umemuambia ukweli,
Pia inawezekana ukawa unajibishana na jobless anaye lala na kula kwa wazazi wake hivyo hana maisha anayoyajua
 
Mimi ninawashangaa Sana watanzania wanapowaruhusu wakenya kuwaingiza katika "battle" zisizokua na maana yoyote katika uchumi wa nchi, hasa raia wa kawaida, hivi "Malls" Zina umuhimu gani katika maisha ya raia wa kawaida?.

Kuna Mambo ya maana ya kulinganisha yenye impact kubwa kwa watu wengi Kama masoko, usambazaji wa maji vijijini na mijini, kilimo na uvuvi, Mambo ambayo yanajibu shida za raia wa Kenya na Tanzania walio wengi, huko wakenya hawataki kabisa kuzungumzia, wameshikilia Malls ambazo 95% zipo katika majiji makuu

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Umeongea kwa uchungu sana...
 
Bro! Hivi vitu vya tozo is not a joke! Acha mambo ya hovyo! Lazima kuwe kuna deep dialogue kuhusu hili Jambo. Watu wanaumia sana. Mimi nikiwa mmoja wapo.

Nikiweka laki ya mauzi yangu ya siku mpesa, nikituma benki nakatwa 4999, kesho nikitaka kuitoa niongeze stock dukani nakwatwa almost 10,000.

Yani 100,000 nikiingiza kwenye mfumo wa kibenki inakuwa sio laki tena ni 85,000.

Mimi nauza ice lollies Azam. Moja ni 500.
Ukigawanya Kwa hiyo 15,000÷500=30.

30 ndio idadi ya ukwaju kwenye box.

Hiyo ni kila siku bro!

Sasa hapo jumlisha na kodi ya frem, jumlisha na umeme, jumlisha na kodi za TRA.

Babu please!..........kaka wewe hazikuumizi stop mocking others!

It's not funny anymore! This is a very serious matter!
Huyo haiwezi kukuelewa maana anasema anasifia kwasababu ananufaika na huu uongozi, siyo mzalendo analinda tumbo lake hata kujibishana naye unapoteza nguvu zako bure mkuu.
 
Back
Top Bottom