Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
You are bragging of four while Kisumu almost 12 buildings each above 10 floors are coming up.Kutana na majengo manne which ar over ten storeys underway in ARUSHA currently 👇 12 storeysView attachment 23372542View attachment 23372563View attachment 23372574. 17 storeysView attachment 2337269uko kwa hawa mbuzi kwenye hizo village centers zao ni vichekesho you 🤣🤣🤣 .. Teargas unaiona chuga.?
You are one of the uneducated idiots in this forum. Ungekanyaga shule ungejua kwamba there's nothing like properties when talking about tangible items.Umeona ulivyo mpumbavu, shule na lugha vinahusiana vipi?
Are coming up.? 🤣🤣🤣You are bragging of four while Kisumu almost 12 buildings each above 10 floors are coming up.
Makasembo 9 buildings each 10 floors.
View attachment 2337293View attachment 2337294
View attachment 2337276View attachment 2337277View attachment 2337278View attachment 2337279View attachment 2337282View attachment 2337283
Bro! Hivi vitu vya tozo is not a joke! Acha mambo ya hovyo! Lazima kuwe kuna deep dialogue kuhusu hili Jambo. Watu wanaumia sana. Mimi nikiwa mmoja wapo.Tanzania has the lowest inflation rate across EAC , endeleeni ku post mall..
Haters wa Mwiguluconomics mnaitwa huku![]()
Kwani wewe unaona zikienda chini?Are coming up.? 🤣🤣🤣
Utalinganishaje cheap apartments buildings vs huge commercial buildings .?Kwani wewe unaona zikienda chini?
Leta za kwenu nikupige na kitu kizito kichwaniI'm always ready for anything. Start.
Kwa nini ulaumu tozo wakati inajulikana siku zote kwamba kufanya transactions za Mitandao ya simu na banks huwa makato ni makubwa siku zote tozo imekuja tuu kuongezea na kinachokatwa kama tozo ni kidogo kuliko makato ya banks na mitandao ya simu?Bro! Hivi vitu vya tozo is not a joke! Acha mambo ya hovyo! Lazima kuwe kuna deep dialogue kuhusu hili Jambo. Watu wanaumia sana. Mimi nikiwa mmoja wapo.
Nikiweka laki ya mauzi yangu ya siku mpesa, nikituma benki nakatwa 4999, kesho nikitaka kuitoa niongeze stock dukani nakwatwa almost 10,000.
Yani 100,000 nikiingiza kwenye mfumo wa kibenki inakuwa sio laki tena ni 85,000.
Mimi nauza ice lollies Azam. Moja ni 500.
Ukigawanya Kwa hiyo 15,000÷500=30.
30 ndio idadi ya ukwaju kwenye box.
Hiyo ni kila siku bro!
Sasa hapo jumlisha na kodi ya frem, jumlisha na umeme, jumlisha na kodi za TRA.
Babu please!..........kaka wewe hazikuumizi stop mocking others!
It's not funny anymore! This is a very serious matter!
Ati huge? Are you made? Since when did a 10 floor building become huge? Again Makasembo is a mixed development project.Utalinganishaje cheap apartments buildings vs huge commercial buildings .?
Hii michezo inajulikana na nani bwana wee.? HIV haya kuna famous players kwenye hii michezo kweli.? 🤣🤣🤣Hahah huko south ni local leagues yanga na simba!!!
Very boring country.
Sasa unaitisha battle na kwanza wewe ni muoga😂😂😂. Because you came up with the idea why can't you start?Leta za kwenu nikupige na kitu kizito kichwani
17 storeys building sio huge.? Vs 10 apartment building.?Ati huge? Are you made? Since when did a 10 floor building become huge. Again Makasembo is a mixed development project.
Huge buildings starts from 30 floors.17 storeys building sio huge.? Vs 10 apartment building.?
Nimeleta idea but you can also start showing off what you guys have back to your village centersSasa unaitisha battle na kwanza wewe ni muoga😂😂😂. Because you came up with the idea why can't you start?
According to who.?Huge buildings starts from 30 floors.