Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mzee nyinyi mmetoka LDC juzi tulia. Sisi tumekuwa MIC miaka minane sasa. Kila mtu anajua Kenya ipo mbele yenu kiuchumi.
Ukiacha maneno, maandishi na kujikweza, onyesha kwa mifano ya vitendo kuhusu uchumi wa Kenya.

Kati ya wakenya na watanzania ni nani wanaingia nchi ya jirani kwa wingi kwenda kufanya kazi ili wakidhi maisha Yao?.

Wakenya ukimbilia USA, UK, Canada, UAE, Tanzania, South Africa na Mauritius, jaribu kujiuliza kwanini hawapendi Ethiopia, Somalia, South Sudan, Uganda, Rwanda na Burundi kwa wingi?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Ni wewe au kuna mtu kakuandikia ....
Nlijua utasema anaupiga mwingi
Wewe mimi sijawahi unga mkono ujenzi wa sgr hapa Tanzania maana mnajenga mapambo ya kufanyika siasa kwa watu wajinga ambapo mwisho wa siku ni tembo mweupe kama hiyo inayoendelea huko..

Ila kwa kuwa mnataka sifa za kipuuzi na wajinga walio wengi wanawashangilia acha aupige mwingi maana ndivyo wajinga wanataka bila kujua ni mzigo mkubwa kutoa pesa za umma kuendesha shirika lisiloleta faida..

Reli zinapaswa kujengwa baada ya Uchumi kuhitaji reli sio ku bet.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kwani njaa ni uongo ww huoni aibu nchi inapewa misaada ya chakula na nchi zenye jangwa kabisa
Qatar ni more than 10Γ— richer than Kenya. So hakuna cha kushangaza wakitupatia msaada. Ingekuwa aibu kubwa kama nchi masikini kutushinda kama Tanzania ingetupatia msaada. Uzuri huwa tunanunua chakula kutoka kwenu kwa pesa yetu.
 
Ukweli gani na bakuli mnaagiza kama magari ndio hizo mwenzenu kupost hapo juu [emoji2][emoji2]
Nyinyi ni kelele tu. Hamna ubavu wowote kujilinganisha nasi
Rutto anazo helicopters 5, Bakhresa Hana hata Moja; what is your conclusion?

You; Rutto is richer than Bakhresa
Me: Tanzanians use money prudently

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Sasa unapinga kwamba Kenya ni tajiri kushinda Tanzania??
 
Why Kenyans musicians don't get many views from Kenya, why Tanzanian football clubs get more views than any other clubs in Africa apart from Al-Ahal of Egypt, do you want to say Kenyans also support Tanzanian football?[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Ila hii video inanichekesha sana. Yani kila nikiitazama nacheka tu. 🀣 🀣 🀣

Mtu yeyote anaweza kupost video kama hio. Huyo aliepost hii video(anaeongea ni C. Lukosi) yeye ndio anaship vibakuli. Hana access na watu wanaoship magari ya maana kwasababu ambazo sitazisema hapa. Watu wanaingiza G wagons, Range Rovers na magari kama hayo kila leo from UK.
 
Qatar ni more than 10Γ— richer than Kenya. So hakuna cha kushangaza wakitupatia msaada. Ingekuwa aibu kubwa kama nchi masikini kutushinda kama Tanzania ingetupatia msaada. Uzuri huwa tunanunua chakula kutoka kwenu kwa pesa yetu.
Nyinyi ardhi munawapa wazungu wanapanda maua wanapeleka kwao nyinyi munakufa na njaa alaf unaizungumzia qatar πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Huwez kua nchi tajiri alaf bado watu wanakufa na njaa πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ 21st century ww hata aibu huoni??
 
Ndio ujifunze sasa sio kila siku unashnda hapa oooh mama anaupiga mwingi...
 
Ndio ujifunze sasa sio kila siku unashnda hapa oooh mama anaupiga mwingi...
Wewe aliyekwambia mimi huwa nakubali kila kitu ni nani? Hata nikiwa mfuasi wako au rafiki yako sahau.kwamba nitakuwa stamp wako so huna cha kunifundisha bali kawafundishe Sukuma gang..

By the way mama anaupiga mwingi πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220801-081753.png
    167.9 KB · Views: 21
  • Screenshot_20220801-081429.png
    122.7 KB · Views: 21
Mimi nilidhani wamefire missiles into Taiwan. Kumbe wamerusha kombora ndani ya maji. Waoga hao Wachina.
Huko ni maji ya sehumu ya Taiwan, Kuna meli, boats na Mali za Taiwan. Hiyo maana yake ni kwamba hakuna ruhusa kwa majeshi ya Taiwan na washirika wake kufika katika hayo maeneo.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Qatar ni more than 10Γ— richer than Kenya. So hakuna cha kushangaza wakitupatia msaada. Ingekuwa aibu kubwa kama nchi masikini kutushinda kama Tanzania ingetupatia msaada. Uzuri huwa tunanunua chakula kutoka kwenu kwa pesa yetu.
You don't need to be richer than Qatar, what you need is not to be dependent on human basic needs during this century.

Ni aibu kwa Kenya kujisifu kuwa na uchumi mkubwa wakati mnapokea misaada ya chakula na raia wenu bado wanasumbuka kupata chakula na wengine wanaokufa kwa njaa

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…