Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
Giraffe Manor Nairobi
kwabi uwongo mombasa ni mji wa mashoga/mapungatulia wewe..kuwa mstaarabu🙄🙄😀😀
so wewe shida yako ni mtu ajenge wewe ukapange au😀😀😀😀😀Ndio maana Dar ni unplanned
ukiruhusu watu wajenge watakavyo kwa cities...madhara yake ni unplanned baadaye.
hio mall inameza duka zote tanzania...
mwenyewe naona na sitanzania pekee ni inameza maduka ya dunia nzima.....
