Filaria
JF-Expert Member
- Jun 28, 2021
- 768
- 2,119
Unamwita mvivu mtu anayekulisha![emoji28]Huyo mwenye alishinda hio marathon ni Mganda na huo wimbo wa taifa ni wa Uganda. Unaexpect mtu kutoka republic of Lazystan kushinda marathon? Haiwezekani.
Unamwita mvivu mtu anayekulisha![emoji28]Huyo mwenye alishinda hio marathon ni Mganda na huo wimbo wa taifa ni wa Uganda. Unaexpect mtu kutoka republic of Lazystan kushinda marathon? Haiwezekani.
Huyo mwenye alishinda hio marathon ni Mganda na huo wimbo wa taifa ni wa Uganda. Unaexpect mtu kutoka republic of Lazystan kushinda marathon? Haiwezekani.
Huyo mwenye alishinda hio marathon ni Mganda na huo wimbo wa taifa ni wa Uganda. Unaexpect mtu kutoka republic of Lazystan kushinda marathon? Haiwezekani.
You need a class in history. Ndio maana huwa unapayuka upuuzi humu.wacha upumbavu wewe aliyegundua X ray mbona anajulikana!
![]()
Physics History November 2001
www.aps.org
babalaiwacha upumbavu wewe aliyegundua X ray mbona anajulikana!
![]()
Physics History November 2001
www.aps.org
Huyo wa nafasi ya nne objection ya nini tena? [emoji3][emoji3][emoji3]Hii kitu imefanywa kitaalamu ila kuna watu wanalazimisha ifanyike kienyeji bila kuzingatia vigezo muhimu.
Tunapandisha bei ya unga, zingueni tuwaonyeshesio kanairobaa hasa, bali chisumu. anyway but we can still survive without EAC thing, even if we withdrew our membership. we can still do very well without all of you
Huyo mwandishi wa habari arudi shuleni afundishwe jinsi ya kuandika title ya habari. Watu wengi sana huwa wanasoma title pekee na kusonga mbele. Sio kila mtu huwa anaingia ndani ya habari yenyewe. Title lazima ijitosheleze. Kwa gazeti la Uganda title kama hio imekubalika kwa sababu Waganda wanaposoma title watafikiri ni wimbo wa taifa wa Uganda. Ila gazeti la Kenya au Tanzania halistahili kuandika title la kipuuzi kama hilo kwa sababu Mtanzania anaposoma title ya gazeti atafikiri kwamba wimbo wa taifa wa Tanzania ndio ulichezwa.Kwanza kabisa mnapenda kuchukulia vitu kijuu juu angalia mnavyoonekana mapoyoyo hapo.Taarifa hujasoma yote unabeba kipande ulichoelewa peke yako, unaishia kuabika na kuonyesha chuki zako, na wewe bila hata kufuatilia unaunga nyuma kama tela [emoji23] Wakenya mna chuki sana mnapenda kupindisha vitu viendemnavyotaka
Hapa si wanaongelea wimbo wa Uganda ?
Watu tunashangilia East Africa imetuwakilisha vizuri kupata mshindi wa kwanza hadi wa tatu. Nyie mpo busy kukandia.
View attachment 2309522
Kwa mara ya kwanza tangu dunia iumbwe Mtanzania ameshinda Mkenya kwenye marathon. Maajabu ya Musa haya. Huyo Mtanzania atakuwa na damu ya Kikenya. Achunguzwe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtu aliyekushinda bado unadharau?? Kamshinda huyu mkenya wenu na bado unasema haiwezekani kushinda? Au mi sijaelewa wapi?
Au ni hasira na hamjategemea mkulungwa wenu kutupwa No 3 [emoji23]
View attachment 2309505
Governor Anyang Nyong'o has done a good job in Kisumu in 5 years. Apewe another 5 years uone Kisumu ikishinda Kigali kwa usafi. I can see well marked roads, cabro walk ways e.t.c hata ile dumpsite ya takataka iliondolewa. Soko imehamishwa from CBD. Matatu pia zitahamishwa from CBD. Kisumu will be a small London if Nyong'o gets another 5 years.am telling u kisumu and capetown is one thing.. u won't understand tht
View attachment 2309473View attachment 2309474View attachment 2309475View attachment 2309476View attachment 2309477View attachment 2309478View attachment 2309479View attachment 2309480View attachment 2309442View attachment 2309443View attachment 2309444View attachment 2309445View attachment 2309446View attachment 2309447View attachment 2309448View attachment 2309449View attachment 2309450View attachment 2309451View attachment 2309452View attachment 2309453View attachment 2309454View attachment 2309455View attachment 2309456View attachment 2309457View attachment 2309466View attachment 2309467View attachment 2309468View attachment 2309469View attachment 2309470
Povu la nini wataalamu ndio wamesema hivyo sisi ni nani wa kuwabishia?Kitaalam vipi? Tunataka kusoma hio report yao ya upuuzi ili kujua wametumia vigezo gani. Isitoshe hakuna jinsi Tanzania ambayo inahost EA headquarters pia ipewe EACB wakati Kenya na Uganda hazi-host body hata moja ya EAC. EAC court pia ipo Tanzania. Hamuwezi host bodies tatu za EAC wakati Kenya na Uganda hatu-host body hata moja ya EAC. Hapa ndio nimeanza kuona kwamba kuna siasa chafu inayochezwa nyuma ya pazia. Afadhali Kenya iondoke EAC. EAC has become a joke. EAC ni upuuzi mtupu. Upumbavu mtupu.
Nimeona wameweka Burundi mbele ya Kenya. Burundi yenye kagdp ka $3 billion kamewekwa mbele ya Kenya yenye gdp ya $114 billion. Kaburundi kamewekwa mbele ya Kenya. Kaburundi Kaburundi Kaburundi. Hapo ndio ujuwe hao sio experts. Hao ni wajinga fulani wasiojuwa kazi yao.Mbona hao professionals waliofanya verification ya kuhost hiyo bank Kenya ilishika nafasi ya 4 huko.
Of all countries in EA Tz has the best macro economics
Tangu dunia iumbwe? Unamjua Filbert Bayi? Au tayar ushavuta vitu vyako asubh hiiKwa mara ya kwanza tangu dunia iumbwe Mtanzania ameshinda Mkenya kwenye marathon. Maajabu ya Musa haya. Huyo Mtanzania atakuwa na damu ya Kikenya. Achunguzwe.
SA ndio wamekopi kwetu kuanzia nyimbo mpaka bendera.in bongoland, this is a once in a life tyme (light-year[emoji1787]) experience,
[emoji1427]this one!..
lakini... huu ni wimbo wa taifa ya bongo kweli?
si nilidhani, wao wali copy
'Nkosi Sikelel-iafrika"
ya ndugu zao wa dhati south africa ama !!??[emoji848][emoji848][emoji848]
View attachment 2309388
Shida mgikuyu hajawa wa kwanza.Kwanza kabisa mnapenda kuchukulia vitu kijuu juu angalia mnavyoonekana mapoyoyo hapo.Taarifa hujasoma yote unabeba kipande ulichoelewa peke yako, unaishia kuabika na kuonyesha chuki zako, na wewe bila hata kufuatilia unaunga nyuma kama tela [emoji23] Wakenya mna chuki sana mnapenda kupindisha vitu viendemnavyotaka
Hapa si wanaongelea wimbo wa Uganda ?
Watu tunashangilia East Africa imetuwakilisha vizuri kupata mshindi wa kwanza hadi wa tatu. Nyie mpo busy kukandia.
View attachment 2309522
Kantri ya masnichi! Wameshtuka bora sauzi!
Tumeanza kutumia hii nyimbo toka 1964 huko,how tuwe tumecopy kwa nchi ambayo imeanza kuutumia 1994!we jamaa kilaza kweli,hata bendera south africa wamecopy kwetu ukiondoa ile rangi nyeupe na nyekunduin bongoland, this is a once in a life tyme (light-year🤣) experience,
👇🏽this one!..
lakini... huu ni wimbo wa taifa ya bongo kweli?
si nilidhani, wao wali copy
'Nkosi Sikelel-iafrika"
ya ndugu zao wa dhati south africa ama !!??🤔🤔🤔
View attachment 2309388