Malobabrian
JF-Expert Member
- Jun 12, 2020
- 254
- 298
Kwani akila mayai liko shida wapi??Ila Wakunya kwenye upande wa chakula kweli mpo nyuma, haya mayai ya kuchemsha ya nini sasa?
![]()
Hivi vyakula vya stendi za mabasi kabisa ndio mnaweka kwenye shughuli kama hiyo? Too much inconvenience kumfanya mlaji aanze kumenya mayai instead of enjoying meals
View attachment 2309117

