Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

one of their underrated musician had this to say when he visited dar es salaam for the first time.

322b2dc17a3cb76b15ddbf6043c4fe28.jpg
0ecff03cb45169f7208f719c0cdac74f.jpg
4ec48a9bee0e5b63fe67d46ba8c9fa05.jpg
beed9b30c6e3e4444ee3d8b954151e94.jpg
86df392fd1789c094a25911b81d594ea.jpg

wachana na huyo mshamba...tumewapee yeye
emoji23.png
emoji23.png
 
😀😀😀😀ati wizkid...lol! diamond hata hakuna musician ameshinda Nigeria ama SA...bado anabahatisha tu...kwanza hata hana diversity...anaimba stye moja tu na kwa lugha moja tu...kina wizkid wako mbali bana... nimeskia wizkid aki rap pia...mwulize diamond arap uone mazingaombwe!😀😀😱😱
Kuilinganisha Tz na Kenya kwenye Music ni Kuidharau Tanzania
 
Alafu museme munaonewa mkiambiwa ukweli munakasirika😀😀😀😀😀😀😀😀
47m vs 52m lakin still bado vijana hawana ajira
IMG_0217.JPG
 
Hahaha try to be serious bro wachina sio watu wazuri
View attachment 590206
kwa sababu yenu ndio itafikisha mizigo hizo??? lol!
emoji23.png
emoji23.png
umesahau pia nyie mna jenga reli kupeleka mizigo kanchi kadogo ka rwanda?.mizigo za Kenya ni nyingi mara dufu kuliko ya tanzania ama rwanda.....ukiona cha mwenzako...ila hatujali, we already have a modern railway system....raia hatuna shida...
 
Kuilinganisha Tz na Kenya kwenye Music ni Kuidharau Tanzania
kulinganisha kenya na Tanzania kwenye mandeleo, uchumi na biashara ni kuidharau Kenya
emoji23.png
emoji23.png


Pili, Kulinganisha Nairobi na Dar ni kuidharau Nairobi ila wameshaanzisha uzi huu, sasa tufanyeje...just play along bruh!
emoji23.png
emoji23.png
 
kulinganisha kenya na Tanzania kwenye mandeleo, uchumi na biashara ni kuidharau Kenya
emoji23.png
emoji23.png


Pili, Kulinganisha Nairobi na Dar ni kuidharau Nairobi ila wameshaanzisha uzi huu, sasa tufanyeje...just play along bruh!
emoji23.png
emoji23.png
Kuna vitu mpo vizuri lakini hili mmeachwa sana sana
 
kwa sababu yenu ndio itafikisha mizigo hizo??? lol!
emoji23.png
emoji23.png
umesahau pia nyie mna jenga reli kupeleka mizigo kanchi kadogo ka rwanda?.mizigo za Kenya ni nyingi mara dufu kuliko ya tanzania ama rwanda.....ukiona cha mwenzako...ila hatujali, we already have a modern railway system....raia hatuna shida...
Kumbuka sisi first phase tumetoa pesa yetu sio mkopo 1.2b$ kumbuka tanzania inapeleka mzigo uganda,rwanda burundi malawi zamzbia congo ,north part of mozambique,zimbabwe na comoro kazi munayo sasa hvi
Mchina sio mtu mzuri😀😀😀😀😀😀
Naona kawatengezea gari moshi kwa bei mbaya sana
 
ni kweli unemployment is high in Kenya but that doesn't change the fact that we are way ahead of your backward country
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
tafta lingine nikujibu sasa hvi...
emoji23.png
emoji23.png
Where is economy then 22.5 youth hawana ajira yani robo nzima ya kenya 😀😀😀😀😀😀
Endeleeni kupika data za economy kudanganya ulimwengu lakin sumu ya umaskini iko pale pale
Na hvi uhuru kenyatta ndio kaua uchumi wa kenya kabisaa
 
kulinganisha kenya na Tanzania kwenye mandeleo, uchumi na biashara ni kuidharau Kenya
emoji23.png
emoji23.png


Pili, Kulinganisha Nairobi na Dar ni kuidharau Nairobi ila wameshaanzisha uzi huu, sasa tufanyeje...just play along bruh!
emoji23.png
emoji23.png
Ndugu nairobi kwa dar inaingia mara 3 keep it in ur mind😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom