Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tony huwa ni msahaulifu sn huenda aliuona mkataba ila alishasahau.
Si mambo na mkataba peke yake, there will be alot more of rigorous scrutiny atcl will undergo before kupewa greenlight to fly to USA, lets wait and see
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
ATCL soon inaanza kwenda Dallas US, London and Paris Watapanda tuu.
Ati ATCL iende Dallas? Kwani USA ni kwa nyanya yako?
Kuna uwezekano ATCL kukosa kuwahi kanyanga USA kwa hii lifetime yetu
 
Aisee kwenda USA sahau kabisa. Ni ngumu zaidi. USA sio choo. Ni rahisi ATCL kuenda London, Dubai na kwingineko lakini sio USA. Masharti ya ATCL kufly USA ni mengi mno. KQ ilisumbuka sana kabla ipate license ya kufly USA.
JNIA new terminal standards and security details complied with new international security requirements including US requirements ilichobakia ni minor details tuu kwa airline yenyewe na procedures orientation kwa security enforcers.
KQ ilipata shida kupata green light sababu kubwa ni JKIA terminal security was not compatible with US requirements.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Leo ndio nimeamini we jamaa ni mzee wa kukosoa tu, na hujui lolote, kumbe huwa unaishiaga kuona picha tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ulifkir utaijua Dodoma kupitia picha tu.? Fika mwenyewe ujionee, au kwako wewe apartment means City plan .. we kumbe ni hamna kitu tu, Dom imepangwa mzee na kama utapata bahati ya kufika huko utajionea hilo kwa macho yako, hadi rangi za mabati karibu kika mtaa ni uniformity, kuna midaa Iko na nyumba za bari za kijani tu, pia mitaa yenye nyumba za bati nyeusi tu, pia mitaa zenye nyumba za bati nyekundu tu and they are all well planned, ukifika wala hutokua na haja ya picha tena, kitu kilichopo kwasasa ni kwamba maeneo mengi bado hayajaaa kujengwa na barabara pia bado kwa idadi kubwa, that's why picha za juu zinaonyesha kama kuna mapengo mapengo, but I'm telling you, tafuta video yoyote inaoonyesha closer view uthibitishe haya niyasemayo, kwa mfano anza na hizi [emoji116]. [emoji116]. [emoji116].
Hana lolote anataka likes za wakenya tu..
 
Kenyatta mtu poa sana atampatia hela hawezi mfinya makende labda asijue.
Kwani Kenyatta ndiye amemkamata hapo kwa gate? Kenyatta hatafahamishwa kwamba kulikuwa na jamaa anafanya mzaha kwa gate lakini sasa ametenganishwa na bolingo zake.
 
JNIA new terminal standards and security details complied with new international security requirements including US requirements ilichobakia ni minor details tuu kwa airline yenyewe na procedures orientation kwa security enforcers.
KQ ilipata shida kupata green light sababu kubwa ni JKIA terminal security was not compatible with US requirements.
Wewe unajua hizo security requirements ni gani ndio useme kwamba JNIA imemeet hizo requirements? Hebu taja some of those security requirements.
 
JNIA new terminal standards and security details complied with new international security requirements including US requirements ilichobakia ni minor details tuu kwa airline yenyewe na procedures orientation kwa security enforcers.
KQ ilipata shida kupata green light sababu kubwa ni JKIA terminal security was not compatible with US requirements.
Mark this post, hutawai shuhudia actl ikifika USA in your lifetime. Kwa sasa tunaenjoy watalii wenu na abiria wenu na wa E.Africa wakipitia JKIA kwenda USA.
 
Back
Top Bottom