Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umekula kichapo mpaka umeamua uje kivingine 😂😂😂
Kivipi? Kwani hizo shamba za mihogo sio Dar?

Halafu nishakuwekea picha nyingi za Githurai "slum" just to remind you that it's way better than those uswazi hovels with no roads. Ama hujaziona nitume tena? 😃😃
 
Kivipi? Kwani hizo shamba za mihogo sio Dar?

Halafu nishakuwekea picha nyingi za Githurai "slum" just to remind you that it's way better than those uswazi hovels with no roads. Ama hujaziona nitume tena? 😃😃
😂😂😂 Unaijua Tandale wewe.?
 
East & central Africa ni shamba la Kenya

View attachment 2271861

Kwenye mambo ya banks sidhani kama kuna battle na malazy. Hakuna bank hata moja ya Tanzania ipo kenya ila banks za Kenya zipo katika kila nchi ukanda huu. Kuna atleast bank moja ya Kenya au zaidi ya moja katika nchi hizi: Tanzania, Uganda, South Sudan, DR Congo na Rwanda. Tanzania kuna banks at least tatu za Kenya: KCB bank, NCBA bank na Equity bank.
 
Sama boy 255 estate zinafanana hivi, wachana na hizo nyumba zako za squatters. 🤣 🤣 🤣


Image


Image
 
😂😂😂😂 Gorofa ni za udongo mazingira ni hatarishi mzee wangu.. tofauti ya Tandale na hapa ni hizo gorofa za udongo tu, otherwise Tandale Iko na barabara za concrete all over, sewage system nzuri na taa barabarani ..
Unamaanisha hapa kuna sewerage system? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
images - 2022-06-26T132741.249.jpeg


Hata kwa kuangalia tu, do you need to sweat to know which place is between the two?
maxresdefault (3).jpg
 
Back
Top Bottom