The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,537
Sipangwigwi maana yake siongopewi, sawa na mtu aseme sipangiki yani hunipangi means huniongopei, unajua wakenya siku hizi wamekuwa wajinga sana mbele ya watanzania, wamekuwa wakikopi kila kitu from Tanzania kuanzia life style mpk jinsi ya kuongea na misemo yote ya kitanzania wanaiga, alafu wanaenda kusema ni yao.What does that mean?




